Umesahau nakumuuliza ule ujauzito alioacha Igunga kwa mke wa mtu anajua matokeo yake?Acheni kutapatapa,sie tunasubiri ushahidi tu,hizi topic zingine ni rubbish tu.
kapewa mahela kibao toka BOT na ndulu kwenda kupendezesha jimbo lake bila uhalali na prof beno gavana
mpaka proposal yake ninayo ukiitaka mnyika nitakupa ni inbox tu kwan kachota pesa nyingi sana bila uhalali na pia kafungua kiwanda kikubwa uchapaji nyalaka na magazeti pale mwenge kachota mapesa yote BOT
NA MENGI SANA JUU YA HUYU, hila kaniboaaaa sana na hoja zake za sasa hivi ni fisadi kweli mnyika ukiitaji nyongeza nitakupatia