Mwigulu ni wazi umeishiwa sera na hoja,Dr.slaa mumemshindwa kwa hoja,mnabaki kukataza tusiwasikilize cdm,kwanini?k
Toka afumaniwe na mke wa kada mwenzie kule Igunga nilimtoa kwenye kundi la watu wenye akili, hivyo msameheni bure manake hazimtoshi.
Mwigulu ni wazi umeishiwa sera na hoja,Dr.slaa mumemshindwa kwa hoja,mnabaki kukataza tusiwasikilize cdm,kwanini?k
For this, nampa Mwigulu 100% appreciation!
Hoja yako haina mashiko.Inaelekea wewe hukuelewa hoja ya Mwigulu! nazani alichosema Mwigulu ni sahii na kiongozi yeyote hata wa upinzani anastahili kukisema!
Hoja yako haina mashiko.
Unapofanya mikutano ni dhahiri anayehudhuria anahitaji kujua na kusikiliza sera zako ili aweze kukupa kura yake.Sasa kumwambia mtu asiende kwenye mkutano wa chama fulani si sahii.Alichotakiwa Mwigulu kuhimiza ni amani na utuliuvu.
Ningemsifu sana kama angelisema hili. Ila kwa kuwa CCM siku zote ndio waanzilishi wa Vurugu, lazima wawe na wazo la vurugu.
Ninafikiri CCM ndiyo wanaitukana CDM kwenye mikutano yao. Nimefuatilia mikutano ya CDM watoa sera tu inayoeleza matatizo ya wameru.
CCM lazima wabadilike... We need ACTION and not POROJO.
Inaelekea
wewe hukuelewa hoja ya Mwigulu! nazani alichosema Mwigulu ni sahii na
kiongozi yeyote hata wa upinzani anastahili kukisema! Kimsingi,
alichosema Mwigulu ni kwamba, ikiwa wanachama na wapenzi wa CCM
hawawezi kuvumiliaa madongo yanayorushwa na CHADEMA basi ni kheri
wasihudhurie mikutano ya CHADEMA kuliko kuhudhuria mikutano hiyo na
pale wanaposhindwa kustahimili kuamua kutaka kuanzisha vurugu! Sasa
tatizo hapo lipo wapi?! Ni kwamba, kama wanahudhuria mikutano hiyo,
basi wawe tayari kuvumilivu chochote kitachosemwa na CHADEMA na kama
uvumilivu huo hawana basi wasiende!! Hii ni kauli inayopaswa kutamkwa
na kiongozi yeyote asiye mshabiki wa vurugu! Hii ni sawa na Mwislamu
kwenda kwenye mahubiri ya Kikristo...lazima uvumilie kusikia kwamba
Yesu ni Mungu; huwezi basi usiende! Is like Mkristo anayeenda kwenye
mahubiri ya Kiislamu, lazima avumilie kusikia Yesu si Mungu; hawezi
basi asiende!! For this, nampa Mwigulu 100% appreciation!