Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba (CCM), juzi alituzwa Sh210,000 na wabunge na mawaziri wa CCM baada ya kumwaga matusi na kuiponda bajeti ya upinzani na kuiita ni ya kipuuzi na haitekelezeki, wapinzani wamejaa uigizaji na kumrushia kombora Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuukuu, na baada ya ya kupewa jipya alikubali kimya kimya.
Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa
Source:Mwananchi
Nchemba akizungumza na waandishi nje ya bunge, alisema jumla ya fedha alizopewa na wabunge na mawaziri kadhaa zilifikia Sh210,000.Aliwashukuru wabunge wote wa CCM kwa kuona mchango mzuri aliotoa bungeni kwa maendeleo ya Taifa
Source:Mwananchi