Wewe umeandika tu, Dr. Nkumbo ni zao la CCM (Akiwa kiongozi wa DARUSO na baada ya hapo CCM ilikuwa naye bega kwa bega). Namshauri kurejea kwenye chama chake, CCM.Dr. Mkumbo for Iramba Magharibi 2015!! Yes, the change we believe!!
sasa weee unafanya nini kwenye huu uzi amabo unauita pumba? jamaaa anawawasha kinoma, mkiona jina lake tu, hao mshaingia yaani ni sawa swa na mtu anayebanwa haja, akiona kichaka tu....tayari. Hii ni wasap sana you know!
Ma CCM bwana Kama vile bungeni wanavyofanya huko wanadhani Tendwa naye afanye hayo hayo shame on you guys .OP sangara itakuwepo for sureIna maana msajili wa vyama vya siasa siku hizi anatoa kibali cha mikutano!
hakuna kulala mpaka wakati wa Uchaguzi wa rais 2015 sijui lini watafanya kazi au ndio maana ya upinzani kila siku kumbana mtawala asiibe au kupendelea? Ngoja tuone hiyo 2016 -2020 TZ itakavyoneemeka MUNGU tupe UHAI
hakuna kulala mpaka wakati wa Uchaguzi wa rais 2015 sijui lini watafanya kazi au ndio maana ya upinzani kila siku kumbana mtawala asiibe au kupendelea? Ngoja tuone hiyo 2016 -2020 TZ itakavyoneemeka MUNGU tupe UHAI
Naamini wewe unayeweza kuandika hivi ni aidha wasira au mwigulu chenba la chooo maana tanzania hii wao ndio wanaoendelea kudhani eti ccm ni chama na kumbe nchi imeamka wanaelewa kuwa ccm ni majambazi na mazinzi tu hapa tz
a
Ndg,
kutafuta umaarufu ndiyo dira/lengo la kila chama siasa - maana yake kijulikane na watu wote ndiyo maana CHADEMA under M4C wanakwenda hadi vijijini kujinadi ili kujipatia umaarufu hatimaye kiiungwe mkono/kikubalie na watu wote
hata chama tawala kinatafuta umaarufu kwa kundi la vijana ambao walio wengi wanaonyesha wazi kuwa hawakitambui
kama chama hakitafuti umaarufu hicho kimejifia chenyewe
issue hapa ni jinsi gani umaarufu unatafutwa - yaani zinazo tumika
Kwa muda mrefu CHADEMA wamekuwa wanafanya kampeni mbalimbali maeneo tofauti, lakini kwa siku za karibuni kampeni hizo maarufu kama M4C zimepoteza mwelekeo hadi kupelekea mauaji hivi karibuni huko Singida, sasa wameamua kuja na staili tofauti ya kujisingizia mambo mbalimbali ili kujiongezea umaarufu, kama madai ya kutishiwa maisha na vyombo vya ulinzi au kupindisha kanuni mbalimbali wakiwa bungeni, ili kiongozi wa bunge awachukulie hatua wazidi kuongeza umaarufu, ushauri wangu ni huu... Sasa wajikite kuwatafutia maendeleo wananchi majimboni mwao badala ya kupoteza muda kujikita katika mambo yasiyo na msingi, kwa mfano Mnyika kwenda Singida kusikiliza kero za wananchi wakati jimboni kwake kuna kero kibao.
Nawasilisha!
Wewe Mwigulu hebu tuondolee pumba zako hapa jamvini. Pumba zako peleka kwa magamba wenzio.
BAK kila mtu anaetofautiana na wewe kimtazamo basi ni Mwigulu, duh! Unamuogopa sana jamaa.. Lile ni jembe na kadri unavyomtaja ndio unamuongezea umaarufu
Unazidi kuonyesha upumbavu wako wa hali ya juu. Pumba zako peleka kwa magamba wenzio. Naona mnatapatapa huku na kule ili msipoteze nchi 2015. Mko radhi hata kusababisha damu kumwagika ili mbaki madaraka kwa kupitia vyombo vya dola vya magamba.
Wabongo tumeshawachoka mafisadi nyie kazi yenu kubwa ni kuiba pesa za walipa kodi na kusaini mikataba feki na huku nchi ambayo ina utajiri mkubwa sana ikibaki nyuma kimaendeleo mwaka hata mwaka.
kuna mjinga mwenzio kapandishwa kizimbani kwasababu ya matusi kama hivi, unashindwa kujenga hoja unatukana tuuu, shenzi taip...
a scientific mission can not fail, kwa hoja ya Dr jaribu kufikiri kwa kina halafu compare na waliotangulia kutamka haya maneno then recognize what happened after thatmkuu nimekupata vizuri, lakini hapa mimi naongelea umaarufu wa kijinga, mfano hizi stori kwamba slaa anatishiwa kuuwawa, hivi inawezekana watu wapange kumuua huyu mzee halafu washindwe?