Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Mimi nashangaa watanzania. Hivi kweli Mwigulu Nchemba ndiye mtu wa kupotezea watu mida? Kweli kweli hili suala tulipe uzito wowote kweli!!! Badala ya kufikiria watoto wetu wenye uwezo darasani lakini hawezi kulipa ada watafika vipi huko mbele kukidhi ndoto zao katika maisha....
Mwigulu sio mtu wa kutupotezea muda kumjadili hata siku moja