Kimbojo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2009
- 387
- 54
Mwigulu Mnchemba leo bungeni kauliza swali la nyongeza zuri saaana kuliko alivyokuwa anoamba miongozo ya ovyo ovyo kwa spika siku za nyuma. Kauliza hivi; Kwanini serikali isichukue hatua za kidharura ili kubadili kanuni za manunuzi kama ingeweza kufanya hivyo endapo nchi itavamiwa na kuingia vitani ili kununua mitambo ya kuzalisha umeme nchini? pamoja na Adam Malima kujibu , Waziri mkuu alisimama kuongezea majibu.
Kwakweli leo kaosha kuliko siku zzzote alizakaa bungeni. ameanza kuwa kijana bungeni.
Kwakweli leo kaosha kuliko siku zzzote alizakaa bungeni. ameanza kuwa kijana bungeni.