Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
There aretwo ways to slide easily through life; to believe everything OR to doubteverything; Both ways save us from thinking- Alfred korzybski
Hata jeshi la Gaddafi liliapa hivyo! Leo hii,yupo wapi?
Chemba la mavi, nothing new from his bad mouth.
Hata lile la Mubarak pia, Wananchi wakichoka wakisema LIWALO NA LIWE basi jeshi kamwe haliwezi kuzuia nguvu ya UMMA.
In Tunisia, the turning point came when General Rachid Ammar, Chief of Staff of the Tunisian armed forces, refused a presidential order to fire on the crowds; within days the military had turned entirely against the Ben Ali government.
Haha...kweli Lema kaanza wafanyia diagnosis, kawaonyesha kuwa CDM wanaweza kucheza hata game lake.Wao walimtumia shimbo amabye ana kila kitu cha kuongea uchafu.....Lema katumia askari asiye na ch kupoteza zaidi ya ku gain kitu shimbo hatokaa akipate.Fahari ya kukomboa wengine kwa kujitoa kama sadaka. Mimi nipo tayari changia chochote kwa mwanajeshi anayeamua kua huru kupigania uhuru kamili,najau very soon CCM wataenda koroga na kuunguza mboga,wanajeshi wengi tuu wanaweza kuwa nasi uraiani, wengi kw akumsangilia mwenzao kwa kufungua dimba na kujikuta povu la CCM likiwa rukiwa kabla CCM hawajaja jikuta kuwa waakumbatia porcupine. Mwigulu si alijfany aana shule kuliko lema na wana CDM, sasa tuone watakavyotoka puvu. Bravo CDM.
Kwani hii ni siri, Lakini wakumbuke hata jeshi liape vipi haliwezi kupambana na nguvu ya umma!!
Hii kauli ya "jeshi kuapa kulinda CCM mpaka kufa" ilitolewa nani au akina nani ndani ya JWTZ!?
walikuwa wakisubiri nishani , na jibu la kutangazia umma according to ikulu.Mbona Jeshi halikutoa kauli yoyote kukana, kupinga, au kuonya juu ya kauli hii ya CCM lakini imekuwa nongwa kwa Lema kupiga picha na koplo? Mambo kama haya ya double-standardization ndio yanatia hasira.