makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
Naona kama napoteza muda kumzungumzia huyu mtu, nachelea nisije taapika bure!! Anaudhi sana. Lakini hajitambui kama mwenyewe ni mmojawapo wa wauuaji wakuu wa CCM. Pengine hii ndiyo sababu tosha ya kumzungumza!!!!!!!