Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Kulikuwa na mjadala TBC1 leo tarehe 20/6/2012 saa 1.45 asubuhi, kati ya Zito Kabwe na Lameck Mwigulu juu ya mpango wa maendeleo na bajeti ya serikali 2012/2013. Mwigulu aliishia kutoa mapovu badala ya kujenga hoja kutetea kwanini aslimia 35 ya mapato ya ndani hayajawekwa kwenye bajeti ya maendeleo. Nampongeza sana bwana zito kutuonesha waziwazi udhaifu wa bajet ya mwaka huu.