Hii picha sio ya Igunga.CCM. .......CCM.......CCM. HAYO NDIO MANENO. WAMEONESHA FURAHA YAO.....Kumbe kweli majimbo mengine ni ya CCM tu hata iweje
Sasa hii picha si ni ya uongo basi?Koffie nilikuwepo ktk mkutano wa mwigulu hapa igunga,...mkutano ulianza vema, watu kiasi walijitokeza, wengi wakiwa na shauku ya kusikia nini hasa kimesababisha kafumu kuondolewa ubunge. Mwigulu alitumia muda mwingi kumkashifu Dr Slaa, wengi hawakupendezwa na hilo, zaidi walishangazwa pale mwigulu alipodai cdm kimeshinda kesi kwa sababu jaji aliyetoa hukumu kazaliwa kijiji kimoja na Mbowe, mbaya zaidi watu karibu nusu ya mkutano walianza kuondoka baada ya mwigulu kuanza kukihusisha cdm na mauaji ya Morogoro na Iringa. Kwa hakika mwigulu na dc kingu hawatasahau aibu iliyojitokeza kwa watu kuwaacha mkutanoni. Najiuliza, ccm kimeishiwa kiasi hiki? Koffie na wenzako km inalipa kujidanganya huku.... keep going!
Koffie nilikuwepo ktk
mkutano wa mwigulu hapa igunga,...mkutano ulianza vema, watu kiasi
walijitokeza, wengi wakiwa na shauku ya kusikia nini hasa kimesababisha
kafumu kuondolewa ubunge. Mwigulu alitumia muda mwingi kumkashifu Dr
Slaa, wengi hawakupendezwa na hilo, zaidi walishangazwa pale mwigulu
alipodai cdm kimeshinda kesi kwa sababu jaji aliyetoa hukumu kazaliwa
kijiji kimoja na Mbowe, mbaya zaidi watu karibu nusu ya mkutano walianza
kuondoka baada ya mwigulu kuanza kukihusisha cdm na mauaji ya Morogoro
na Iringa. Kwa hakika mwigulu na dc kingu hawatasahau aibu iliyojitokeza
kwa watu kuwaacha mkutanoni. Najiuliza, ccm kimeishiwa kiasi hiki?
Koffie na wenzako km inalipa kujidanganya huku.... keep going!
Mzinzi chemba mwigulu......
CCM. .......CCM.......CCM. HAYO NDIO MANENO. WAMEONESHA FURAHA YAO.....Kumbe kweli majimbo mengine ni ya CCM tu hata iweje
Koffie nilikuwepo ktk mkutano wa mwigulu hapa igunga,...mkutano ulianza vema, watu kiasi walijitokeza, wengi wakiwa na shauku ya kusikia nini hasa kimesababisha kafumu kuondolewa ubunge. Mwigulu alitumia muda mwingi kumkashifu Dr Slaa, wengi hawakupendezwa na hilo, zaidi walishangazwa pale mwigulu alipodai cdm kimeshinda kesi kwa sababu jaji aliyetoa hukumu kazaliwa kijiji kimoja na Mbowe, mbaya zaidi watu karibu nusu ya mkutano walianza kuondoka baada ya mwigulu kuanza kukihusisha cdm na mauaji ya Morogoro na Iringa. Kwa hakika mwigulu na dc kingu hawatasahau aibu iliyojitokeza kwa watu kuwaacha mkutanoni. Najiuliza, ccm kimeishiwa kiasi hiki? Koffie na wenzako km inalipa kujidanganya huku.... keep going!