Mwigamba ampamba Mbowe

Hii inathibitisha kuwa MBOWE ni Hatari kwa CCM na ambaye anweza kutazamwa kwa jicho tofauti sana maana tazama uzushi huu tena, Hiyo siyo CV wala nini?? Acheni uzushi jamani
 
hii makala mbona kama imeandikwa na Mbowe

Kuna kosa kwa Mbowe kuandika makala? Mbona wengine tunapoteza muda kuwalipa wanamuziki ili waturushe? Kama unaweza kujirusha mwenyewe, kosa liko wapi?
JK naye aandike yake, hata Makamba pia. Magazeti yako kibao, waandike tu. Wasomaji watachagua wenyewe cha kusoma.
 
Kwani kuna nini mtu kusifiwa?? Mbona watu kibao wanapewa sifa?? Mbona mafisadi nao wanapewa sifa kwenye majimbo yao?? tuache ushabiki kama huu
 
Mimi siyo mwana CHADEMA lakini nakikubali hiki chama.

Imefanya mengi hadi leo. Wabunge wake wakiwa bungeni wanajipanga kama team moja.

Mwenyekiti Mbowe ni Msikivu, hana papara hata kidogo. Ametulia - nakumbuka kwenye lile sakata la Wangwe pamoja na kutupiwa mawe na CCM lakini hakutetereka.

Pia huyu jamaa hanunuliki - Yeye amesimama Imara kutetea Utanzania wake. Nakuombea Mh. Mbowe na Chama chako simameni Imara kukomboa Watanzania tuko nyuma yenu.
 
Mwandishi kaandika mambo mengi ya kupika sio kweli mfano anasema kuwa MBOWE ndio alimtafuta na kumkomaza Zitto.WAKATI kwenye mahojiano mengi tu Zitto anasema yuko Chadema toka mwaka 1992.na Mbowe kapata uenyekiti 2004.

yapo mengi ambayo anaonesha kuwa kaandikiwa na Mbowe au ni kujipendekeza kwake.

swali la Msingi hajasema kuwa Mwenyekiti huyu kasoma shule gani ana elimu gani?wasifu gani wa mwenyekiti wa Chama ambao hauelezi elimu ya Mwenyekiti?

kila jambo Mbowe ndiye aliyebuni jee sio KAMATI KUU ya Chadema ndio inayoamua kuwa kuwe na Helkopta au operesheni Sangara n.k?basi hakuna haja ya kuwa na Chama kama kila kitu ni Mbowe.

kama maendeleo ya Chadema huwezi kuandika na ukawaacha watu kama KABURU AMANI.pamoja na yote Kaburu anamchango mkubwa Chadema.mtu kama Zitto posible alipata ushawishi mkubwa toka kwa Kaburu.


.

Mwandishi kaandika mambo mengi ya kupika sio kweli mfano anasema kuwa MBOWE ndio alimtafuta na kumkomaza Zitto.WAKATI kwenye mahojiano mengi tu Zitto anasema yuko Chadema toka mwaka 1992.na Mbowe kapata uenyekiti 2004.

mkuu hivi Zitto wakati Chadema inaanzishwa alikuwa na miaka mingapi? Nimesoma sehemu Zitto ana miaka 33 so it means 1992 alikuwa hajafikisha miaka 18 Je inaruhusiwa kuwa member below 18?

Pia Mbowe amekuwa mwenyekiti 2004 lakini haimaanishi kuwa alijiunga na chama 2004.

yapo mengi ambayo anaonesha kuwa kaandikiwa na Mbowe au ni kujipendekeza kwake.

Mimi nadhani ungeyaweka wazi hayo mambo kuliko kuyaacha kwenye mabano.

swali la Msingi hajasema kuwa Mwenyekiti huyu kasoma shule gani ana elimu gani?wasifu gani wa mwenyekiti wa Chama ambao hauelezi elimu ya Mwenyekiti?

Elimu ya mtu haimfanyi ndiyo awe na uwezo wa kufikiri sana kwani tuna maprof wangapi serikalini na hakuna wanalofanya. Elimu si kigezo cha kiongozi bora japo elimu ni muhimu ili uwe kiongozi. Si kila mwenye elimu ni kiongozi bora.



kila jambo Mbowe ndiye aliyebuni jee sio KAMATI KUU ya Chadema ndio inayoamua kuwa kuwe na Helkopta au operesheni Sangara n.k?basi hakuna haja ya kuwa na Chama kama kila kitu ni Mbowe.

Kubuni ni tofauti na kuamua. Alibuni vitu lakini kuamua ni chama kizima. Nafikiri hii inabidi wanachadema wenyewe wajibu kama ni kweli au la.


kama maendeleo ya Chadema huwezi kuandika na ukawaacha watu kama KABURU AMANI.pamoja na yote Kaburu anamchango mkubwa Chadema.mtu kama Zitto posible alipata ushawishi mkubwa toka kwa Kaburu.


Huyo Kaburu hakuna aliyekataa kuwa alikuwa na mchango au la. Kwani hata katika maelezo jamaa kasema kuwa wabunge walikuwa wanafanya mikutano kwa hela zao za mfukoni including huyo Kaburu. Hivyo kuna mchango hajapinga. Hila hilo la zitto kuwa aliletwa na kaburu siafiki labda kama aliletwa na mama yake
 
Mkuu Kanda2 vp tena mbona Mengi anatumia vyombo vyake kujisifia!
Mbona Rostam nae anatumia vyombo vyake kujisifia nini cha ajabu hapo?

Hakuna ubaya. Lakini mkuu huyu hajisafishi nafikiri jamaa ameandika aliyofanya otherwise kama ni kinyume then ndiyo tuseme kuwa jamaa kadanganya kuwa huko Hai mfano wakati wa ubunge wake walijenga shule au la. Nafikiri hayo ndiyo maswali ya kujiuliza.
 
Kwani kuna nini kama gazeti likimsifia MBOWE, Sasa sio Ukweli, Acha mambo ya ajabu kama haya na uzushi kama huu hapa

Hivi huu uanademokrasia wa kibongo ukoje? Yaani hata uvumilivu wa kukosoana kistaarabu hatuujui. Sasa kama mtu ametokea kumsifia Mbowe iweje wengine wasiwe na haki ya kukosoa usifiaji ama wasifu huo?

Kama una maoni tufauti na ukosoaji huo si na wewe ukosoe ukosaji huo...

omarilyas
 
Chadema chama cha wachaga rafiki zangu huko tanzania wmealalamika na wanataka kuhama chadema wanasema kinaendeshwa kimisingi ya ukabila ukiwa sio mchaga hupati kitu pale zitto angekuwa mchaga au mpare angepewa nafasi ya kuongoza
wacheni uchaga
 
Chadema chama cha wachaga rafiki zangu huko tanzania wmealalamika na wanataka kuhama chadema wanasema kinaendeshwa kimisingi ya ukabila ukiwa sio mchaga hupati kitu pale zitto angekuwa mchaga au mpare angepewa nafasi ya kuongoza
wacheni uchaga

Zitto amepewa nafasi ya kuongoza, ni Naibu Katibu Mkuu Taifa. Naye ni mchaga?
 
Chadema chama cha wachaga rafiki zangu huko tanzania wmealalamika na wanataka kuhama chadema wanasema kinaendeshwa kimisingi ya ukabila ukiwa sio mchaga hupati kitu pale zitto angekuwa mchaga au mpare angepewa nafasi ya kuongoza
wacheni uchaga

Inawezekana una hoja ila katika suala hili tatizo ni wewe mwenyewe. Hebu twambie kama uligombea nafasi yoyote ukaikosa kwa sababu wewe siyo Mchagga. Mimi siyo Mchagga na wala sijagombea kwenye hicho chama nikakosa nafasi. Pia sijagombea CCM nikakosa. Kwa hiyo siwezi kusambaza porojo na lawama bila hoja ya msingi au takwimu za kuyafanya maneno yangu yaonekane ni ukweli badala ya udaku, tetesi, hisia na propaganda za kishetani.
 
Hivi huu uanademokrasia wa kibongo ukoje? Yaani hata uvumilivu wa kukosoana kistaarabu hatuujui. Sasa kama mtu ametokea kumsifia Mbowe iweje wengine wasiwe na haki ya kukosoa usifiaji ama wasifu huo?

Kama una maoni tufauti na ukosoaji huo si na wewe ukosoe ukosaji huo...

omarilyas

Du! Omarilyas, vunja kambi yako, uchaguzi umeisha ndani ya CHADEMA na Mwenyekiti ni Mbowe, tafadhari mpe support mjenge chama.
 
Mwandishi kaandika mambo mengi ya kupika sio kweli mfano anasema kuwa MBOWE ndio alimtafuta na kumkomaza Zitto.WAKATI kwenye mahojiano mengi tu Zitto anasema yuko Chadema toka mwaka 1992.na Mbowe kapata uenyekiti 2004.

mkuu hivi Zitto wakati Chadema inaanzishwa alikuwa na miaka mingapi? Nimesoma sehemu Zitto ana miaka 33 so it means 1992 alikuwa hajafikisha miaka 18 Je inaruhusiwa kuwa member below 18?

Pia Mbowe amekuwa mwenyekiti 2004 lakini haimaanishi kuwa alijiunga na chama 2004.

yapo mengi ambayo anaonesha kuwa kaandikiwa na Mbowe au ni kujipendekeza kwake.

Mimi nadhani ungeyaweka wazi hayo mambo kuliko kuyaacha kwenye mabano.

swali la Msingi hajasema kuwa Mwenyekiti huyu kasoma shule gani ana elimu gani?wasifu gani wa mwenyekiti wa Chama ambao hauelezi elimu ya Mwenyekiti?

Elimu ya mtu haimfanyi ndiyo awe na uwezo wa kufikiri sana kwani tuna maprof wangapi serikalini na hakuna wanalofanya. Elimu si kigezo cha kiongozi bora japo elimu ni muhimu ili uwe kiongozi. Si kila mwenye elimu ni kiongozi bora.



kila jambo Mbowe ndiye aliyebuni jee sio KAMATI KUU ya Chadema ndio inayoamua kuwa kuwe na Helkopta au operesheni Sangara n.k?basi hakuna haja ya kuwa na Chama kama kila kitu ni Mbowe.

Kubuni ni tofauti na kuamua. Alibuni vitu lakini kuamua ni chama kizima. Nafikiri hii inabidi wanachadema wenyewe wajibu kama ni kweli au la.


kama maendeleo ya Chadema huwezi kuandika na ukawaacha watu kama KABURU AMANI.pamoja na yote Kaburu anamchango mkubwa Chadema.mtu kama Zitto posible alipata ushawishi mkubwa toka kwa Kaburu.


Huyo Kaburu hakuna aliyekataa kuwa alikuwa na mchango au la. Kwani hata katika maelezo jamaa kasema kuwa wabunge walikuwa wanafanya mikutano kwa hela zao za mfukoni including huyo Kaburu. Hivyo kuna mchango hajapinga. Hila hilo la zitto kuwa aliletwa na kaburu siafiki labda kama aliletwa na mama yake
Kama elimu haina maana kwanini mwandishi anasema kuwa vijana wasomi wanajiunga na Chadema?

Mwandishi hakueleza kuwa Mwenyekiti wa Chadema ni mjasiriamali anamiliki Disco na amewahi kuwa DJ hivyo kwenye shughuli za MUZIKI Mwenyekiti amebobea.

pia Mwenyekiti amewahi kuwa mbunifu kwa kujiunga vyuo vikuu vitatu toka mabara matatu na kushindwa masomo mwaka wa mwanzo tu.

Mwenyekiti amewahi kuwatia kalikiti nywele zake, nilitegea kwenye wasifu wa Chairman haya yawepo.

kama elimu haina maana kwanini ujisifu kuwa Mbowe alijenga shule Hai wakati akiwa mbunge?

acheni kutumia magazeti kuwadanganya wanachi baada ya kumpora ZITTO kABWE nafasi yake ya uenyekiti.
 
Ina maana huyu Mwandishi pamoja na kuweka maelezo yote haya ameshindwa basi kuweka huo wasifu kwa kuonesha Mbowe amekata madarasa kwa kiasi gani?


Kaka does madarasa count ili kuokoa maisha ya mtanzania ? Kama madarasa ni jibu basi CCM wasingalitufikisha hapa maana kwa kweli CCM ime sheheni wasomi wa ukweli na wa kuunga unga lakini hao wasomi haswa wako wapi hadi CCM inatufikisha hapa ?
 
Back
Top Bottom