bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Jamani naombakujulishwa, hivi huyu mwekezaji wa kitalii anaejiita Mwiba HoldingsLimited aliemhonga mkuu wa wilayaya Meatu gari lenye namba T 147 ASX ni mzawa au ni mwekezaji kutoka nje? Maanainasikitisha sana kuona wananchi wazawa wananyanyasika katika ardhi ambayomababu zetu waliipigania kufa na kupona lakini mtu mwingine anaendelea kunemeka kupitia mgongo wa walalahoi inauma sana. Na pia inasikitisha sana hivi mbunge wa hawa wananchi yupo wapi au yeye anaonekana siku ya kupigiwa kura tu.