PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Mwanajamvi,
Leo hii inatimu siku ya 31(mwezi mmoja) tokea Mpiganaji na mwanajamvi mwenzetu Hayati Regia Mtema(rip) atutoke. Ilikuwa ni tarehe kama ya leo mwezi Januari(14/01/2012) ambapo dada yetu huyu alikumbwa na ajali ya barabarani na kupoteza uhai.
Je, mwanajamvi umegundua mapungufu yoyote, hasa kwenye vikao vya Bunge katika hali ya kukosekana kwa Regia?
Lakini pia, kwa kuzingatia kuwa leo ni siku ya wapendanao(Valentines Day), ungemtumia ujumbe gani Regia(rip)?
Leo hii inatimu siku ya 31(mwezi mmoja) tokea Mpiganaji na mwanajamvi mwenzetu Hayati Regia Mtema(rip) atutoke. Ilikuwa ni tarehe kama ya leo mwezi Januari(14/01/2012) ambapo dada yetu huyu alikumbwa na ajali ya barabarani na kupoteza uhai.
Je, mwanajamvi umegundua mapungufu yoyote, hasa kwenye vikao vya Bunge katika hali ya kukosekana kwa Regia?
Lakini pia, kwa kuzingatia kuwa leo ni siku ya wapendanao(Valentines Day), ungemtumia ujumbe gani Regia(rip)?