Mwezeshe Fidel80 afike kwa Babu

Am very very close than you think Da mie...we kua na imani tu kua Fidel atapata mchango wake

Sio kwamba sina imani, umbali wa hao wa kuwapatia mchango niliona tatizo, kwa vile uko close no prob. Nitakupatia Mkuu.
 
Wabongo tujifunze kuchangia watu kwenye matatizo si mpaka tusubiri afe ndo tumchangie

Tunafahamu umuhimu wa kuchangia, lakini nikihisi mtu anataka kutalii halafu anataka mchango wa kumwezesha afike kwa kigezo cha kutaka kwenda kwa babu, sichangii
 
The longest SIGNATURE:
:hug: :love:
A%20S-heart-2.gif
Love is in the AYYYYYEEEER!!!
A%20S-heart-2.gif
:love::hug:



The size of your wallet doesn't matter to all...just those who can not fill their own!

LOVE is FRAGILE!

GOD created Adam andEve not Adam and Steve!!
 
Mpaka sasa napoelekea mitamboni, sijapata mchango wowote.

Bandugu tunahitaji mchango wenu wahali na mali.

Kijana atateketea hivi hivi tukifanya masihara.
 
Nawahi kufungua kontena la kuuzia beer jirani na kwa babu....tukutane kule..
 
Fidel mchango wangu nitakutumia kwa M-pesa, Lakini ujue kabisa, ukishakunywa dawa hakuna kunywa pombe, wala kufanya mapenzi nje ya ndoa.
Ukifanya hivyo huponi tena, na magonjwa yanakurudia.
 
Mi wangu utaupata kwa rev masanilo waliobaki siwaamini kabisa asee
 
Mpaka sasa napoelekea mitamboni, sijapata mchango wowote.

Bandugu tunahitaji mchango wenu wahali na mali.

Kijana atateketea hivi hivi tukifanya masihara.

Babu, Ukiona watu wazito kuchangia, ujue anayetaka kuchangiwa anataka kwenda kutalii tu huku Loliondo na si kimatibabu.
 
status update...

TUMEPOKEA vifuatavyo
mikate 8-kutoka kwa kimey
sh 500-kutoka kwa gy
sh 15000-kutoka kwa acid
sh 500-kutoka kwa mj1
sh 500-kutoka kwangu mwenyewe

tunashukuru

KUTOA NI MOYO
 
status update...

TUMEPOKEA vifuatavyo
mikate 8-kutoka kwa kimey
sh 500-kutoka kwa gy
sh 15000-kutoka kwa acid
sh 500-kutoka kwa mj1
sh 500-kutoka kwangu mwenyewe

tunashukuru

KUTOA NI MOYO

Ongeza machango wangu wa sala wakati wote wa safari. Mi mali sina.
 
The longest SIGNATURE:
:hug: :love:
A%20S-heart-2.gif
Love is in the AYYYYYEEEER!!!
A%20S-heart-2.gif
:love::hug:




The size of your wallet doesn't matter to all...just those who can not fill their own!

LOVE is FRAGILE!

GOD created Adam andEve not Adam and Steve!!

Zipo na nyingine bwana!!!
 
Mi nitatoa msaada wa kuelekeza njia. Just incase ukipotea kwa sababu kule ni porini sana.
 
status update...

TUMEPOKEA vifuatavyo
mikate 8-kutoka kwa kimey
sh 500-kutoka kwa gy
sh 15000-kutoka kwa acid
sh 500-kutoka kwa mj1
sh 500-kutoka kwangu mwenyewe

tunashukuru

KUTOA NI MOYO

duh! Kijana atafika kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom