Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
huo ndo uungwana asiyekubali kushindwa si mshindani, jitihada zooote lakini wapi, wasanii nao wametumika lakini wapi!!! Kapumzike jk byeeee!!!!
kiherehere cha ccm kunitaka nigombee ndo nakutana na kiranga komo huko mikoani!!!!
tupo hapa Muda wotebaada ya matokeo tuje hapa hapa na topic zetu jamani tusikimbiane hata kidogo
Wandugu kilichovaliwa mkono wa kushoto ni kitu gani?
mimi ni mgeni hata sijui kavaa nini!!wandugu kilichovaliwa mkono wa kushoto ni kitu gani?
Wandugu kilichovaliwa mkono wa kushoto ni kitu gani?
baada ya matokeo tuje hapa hapa na topic zetu jamani tusikimbiane hata kidogo
Ha ha haaa, na mimi nilikuwa nashangaa hiyo kitu. Labda ndo sehemu ya ulinzi unaotolewa na Sheik Yahya. Bangili ya aina hiyo huwa wanavaa majambazi, ambao huwa wanapewa kama sehemu ya ulinzi wao. Kwa hiyo si ajabu kwamba hata Kikwete huo ndo ulinzi wake.
"Hawa Mafisadi wataniua, mimi nilikataa wao wakanilazimisha ili niendelee kutetea maslahi yao, ngoja niendelee kujaribu nikizidiwa naenda kujificha visiwani kule aliko mshikaji Balali"