Elections 2010 Mwenzenu Urais Basi Tena!!!!

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
KIkwete+kashika+kichwa+anawaza+Global+Publishers+2+Des+2008.jpg
 
Huo ndo uungwana asiyekubali kushindwa si mshindani, JITIHADA ZOOOTE LAKINI WAPI, wasanii nao wametumika lakini wapi!!! Kapumzike JK byeeee!!!!
 
huo ndo uungwana asiyekubali kushindwa si mshindani, jitihada zooote lakini wapi, wasanii nao wametumika lakini wapi!!! Kapumzike jk byeeee!!!!


baada ya matokeo tuje hapa hapa na topic zetu jamani tusikimbiane hata kidogo
 
Kilichobakia kwa JK ni kuwashukuru watanzania kwa kumwamini na kumpa ushindi wa Tsunami mwaka 2005 na ya kuwa anakiri ameshindwa kukidhi mahitaji ya watanzania walio wengi.

Hilo tu ndilo litamrudisha kwenye chati za viongozi maridadi wa zamani
 
Wandugu kilichovaliwa mkono wa kushoto ni kitu gani?

Ha ha haaa, na mimi nilikuwa nashangaa hiyo kitu. Labda ndo sehemu ya ulinzi unaotolewa na Sheik Yahya. Bangili ya aina hiyo huwa wanavaa majambazi, ambao huwa wanapewa kama sehemu ya ulinzi wao. Kwa hiyo si ajabu kwamba hata Kikwete huo ndo ulinzi wake.
 
Jamani mwacheni mzee wa watu apumzike kidogo,mambo aliyonayo sasa ni mengi na yanamzidi ndio maana mnamuona hata vitu ambavyo hamjawahi kumuona akivivaa kabla.
 
Ha ha haaa, na mimi nilikuwa nashangaa hiyo kitu. Labda ndo sehemu ya ulinzi unaotolewa na Sheik Yahya. Bangili ya aina hiyo huwa wanavaa majambazi, ambao huwa wanapewa kama sehemu ya ulinzi wao. Kwa hiyo si ajabu kwamba hata Kikwete huo ndo ulinzi wake.

Ulinzi wa kabila hii ukikutana na ile nguvu ya Jina lipitalo majina yote husababisha kama yaliyotokea pale jangwani kwenye ufunguzi wa kampeni,shauri yake!!!!!
 
Back
Top Bottom