mwenzenu nimefiwa

Negrodemus

JF-Expert Member
Dec 30, 2010
2,316
677
Assalamu Alaikum
Admins, Moderators na members wote
wa Jamiiforums
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu
msiba wa baba yangu aliyefarik leo mchana msiba upo tanga makorola mi nipo iringa najichanga changa muda huu nianza safari nipate kuwahi mazishi hapo kesho kama mwenyezi mungu akisaidia mazishi ni saa 4 asubuh katika makaburi ya msambweni.
 
Assalamu Alaikum
Admins, Moderators na members wote
wa Jamiiforums
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu
msiba wa baba yangu aliyefarik leo mchana msiba upo tanga makorola mi nipo iringa najichanga changa muda huu nianza safari nipate kuwahi mazishi hapo kesho kama mwenyezi mungu akisaidia mazishi ni saa 4 asubuh katika makaburi ya msambweni.

Kapala pole sana ndugu yetu yote mipango ya Mungu
Tushukuru kila jambo
 
asanten n mipango ya mungu hapa ni kujipanga tu ye mbele si nyuma yake.
 
pole sana mkuu, Mungu akutie nguvu na kuisafisha njia ili upate kusafiri salama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom