Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
Assalamu Alaikum
Admins, Moderators na members wote
wa Jamiiforums
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu
msiba wa baba yangu aliyefarik leo mchana msiba upo tanga makorola mi nipo iringa najichanga changa muda huu nianza safari nipate kuwahi mazishi hapo kesho kama mwenyezi mungu akisaidia mazishi ni saa 4 asubuh katika makaburi ya msambweni.
Admins, Moderators na members wote
wa Jamiiforums
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu
msiba wa baba yangu aliyefarik leo mchana msiba upo tanga makorola mi nipo iringa najichanga changa muda huu nianza safari nipate kuwahi mazishi hapo kesho kama mwenyezi mungu akisaidia mazishi ni saa 4 asubuh katika makaburi ya msambweni.