nshapoa mkuu Albedo
nshapoa charminglady mzima lakini? Nimefurah kukuona tena
emu njoo unilaze msibani,hapo baa unatafuta nini?
ndo nimerudi ndugu yangu! ntaji-explain kwny nyu thread
Bibi yetu Mwenyezi MUNGU amlaze mahala pema peponi!
TULIMPENDA ILA HAKIKA MWENYE UWEZO KTK MBINGU NA NCHI ALIMPENDA ZAIDI!
Navunja jungu la kufungulia Ramadhani.
Nitakuja msibani asubuhi.
no! Erickb52 hawezi kukuacha kirahisi hvyo kwa kua wewe kwake ni zaidi ya kitu chochote,naamin yupo bize kutafuta chapa siunajua tena life is hard we must be harder!
uje na ile nyavunyavu yako alafu ndan usivae pichu,au sio