FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Karibu salha pitia moja kwa moja jikoni
This is name calling! You are warned!!
Mbezi Beach - Thats name calling!!!!By who?....you...no way man.....si anaitwa Salha?....name calling?
Thats name calling! You are warned!!Karibu sana naona una kamba mguuni! usije kuwa yule mtoto wa mzee .ddy!
Thats name calling! You are warned!!
duh, kuna wana jamvi humu wakarimu kweli kupokea wageni - mmhhh inanitia wasiwasi... School mate Chrispin na masanilo siwasemi nyie!:smiling:
Mbezi Beach - Thats name calling!!!!
karib sana. ukihitaji signature langu , napatikana maeneo ya Sumbawanga.
karibu sana, ujisikie upo mbagala
Akha! me siishi Mbezi Beach Halaf naitwa Salha mie sio Salaha
You are warned, that is name calling!!Nashukuruni kwakuni karibisha kaka chrispin na wengine wooote ahsante ndo nshakaribia Dada Birigita value wala kilevi chochote situmii mei mtoto wa ustaadh na Muislam mzuri tu hata hvyo nipe maji yanatosha
Is THIS NAME CALLING TOO?