Heee Da Sophy anaexpect hongera mwaya. naomba nipropose jina la mtoto akizaliwa please please please angalau lianzie na herufi gani.
Alaa ndo manake hiyo we huoni akimuomba mke mwenzia amvumilie tu mpaka akishusha mzigo! Da ila we da Sophy kiboko! U call a spade as spade not big spoon!Da Sophie baba mtoto ni yule mume wa mtu! mmmmh................umeamua umshikilie mume wa watu kabisa kabisa sasa.
Sikujua kama mke mwenzio yuko hapa JF. hebu soma ushauri wake hapa.Yaani ni inamtaka babake kila dakika, hadi sasa nimesema kama noma na iwe noma. Mwenzangu nivumilie tu bado miezi 4 nitashusha inshaallah. Mtoto wa mwenzio ni mwanao.
Na ukaufanyie kazi.....malabuku!!hahaha mwambie Baba mtoto aombe unpaid leave ya miezi minne mkae home mateso ya nini tena?
Asprin .................siku Da Sophie alipokuja kutoa taarifa kuwa amemuweka kiganjani mume wa mtu ilikuwa wazi kuwa huyo Mkewe mume yumo humo humo.
sasa leo ujumbe mpya ni kuwa mimi pia nitamzalia watoto kama ulivyo zaa wewe
Tatizo hunigongei kale ka apetaiza kangu....! Hahahahahaha! Enewei, nimekutunukia zawadi. Huamini? Hii hapa!heheh Aspirin bwana .................
JF hasa raha ina reality Tv hapa hapa.
Dah! We Gaijin wewe! mbona watutesa watoto wa wanawake wenzio! Anyway ngoja niikonsalti TUKI yangu hapa!Na kwa Inda tu na Tashtiti lazima Da Sophie azae jina la baba wa mume ......................halo haloooo
( na hilo jina lazima iwe mke wa ndoa alikataa na kusema limepitwa na wakati) :lol: