Hata kwetu ROMBO!!!Karibu ujionee usafiri:lol::lol:karibu kyela uone miguu kaka
. Anataka tuendelee kumwabudu yeye ili atujalie pepo! kwani umesahau ule msema kuwa tajiri kuingia peponi ni sawa na ngamia kupenya katika tundu la sindano?Wakati mwingine nadhani ina makosa kwanini ametupa utajili wa maliasili lukuki lakini hatupi watu wakutuongoza tukatokana na janga la umaskini?