Maayo
JF-Expert Member
- Jul 21, 2011
- 317
- 48
STRESS ni tatizo kubwa kwa baadhi ya watanzania:
Dalili zake ni pamoja na:
1. Kula sana au kukosa hamu ya kula.
2. Kuwa mkali sana au mpole sana bila sababu.
3. Kulalamika lalamika ovyo.
4. Kumuona kila mtu anachangia uwepo wa shida zako.
5. Kuhudhuria kituo cha tiba mara kwa mara bila kuwa na ugonjwa rasmi. Ukiambiwa vipimo vinasema huna tatizo,hukawii kuhamia kwa waganga wa kienyeji ama kituo kingine.
MADHARA MAKUBWA NI PAMOJA NA:
1. Kujiua.
2. Kuota mvi mapema.
3. Kujiona wewe NI BORA NA UNAJUA ZAIDI KULIKO WENGINE.
Bora mimi kazi yangu kuingia jf, nasoma thread za watu nacheka then nasepa kimyakimya bila kuacha ushahidi kwamba nilipita. Tehe tehe!!