CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Waliofaidika wapo kibao tu, nenda kijiji cha Nyamisati wilaya ya Rufiji utakuta shule ya kisasa imejengwa hapo zaidi ya bilioni 1.9 zimetumika na aliezitafuta ni yeye m/k wa WAMA Mhe Mama Salma Kikwete. Shule hiyo imechukua wanafunzi wa kike toka mikoa yote Tanzania nzima bara na visiwani ni shule pekee kwa wote. Wanafunzi hao ni wale wa familia duni na yatima. Wanagharimiwa kila kitu kuanzai ada,sare za shule na vyakula n.k wao kazi yao ni kusoma tu.
Wanawake wengine waliofaidika ni toka mikoa yote ya Tanzania kupitia ziara zake za mikoani mama Salma Kikwete alitoa misaada ya vifaa vya uzazi na vya kutolea huduma ya afya vyenye thanmani ya zaidi ya Milioni 300 katika vituo vya Afya 66 Nchi nzima . Na pia alichangia vikundi vya kina mama zaidi ya Milioni 152 . Pesa hizi zote hazikutoka Ikulu zimechangwa na Wasamalia wema wanaovutiwa na jitahada zake nae hazibania amerejesha kwa Wananchi husasan akina mama . Mwenye kutaka data kamili atembelee WAMA atapatiwa taarifa za Fedha na hesabu zilizokaguliwa WAMA inazingatia utawala bora , MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI MAMA SALMA KIKWETE AMETEKELEZA WAJIBU WAKE KAMA MAMA WA TAIFA
Nashangazwa na kitu kimoja ukienda kwenye youtube search hiyo Thunderbird School of Global Management ina lots of clips, lakini hizo za fl wetu hazipo kwa nini?
Nashangazwa na kitu kimoja ukienda kwenye youtube search hiyo Thunderbird School of Global Management ina lots of clips, lakini hizo za fl wetu hazipo kwa nini?
hongera zake....
Mnyonge mnyongeni haki yake... Alikusanya shule za Zanaki, Jangwani, Kisutu, Azania, zilikuwa shule sita hivi akawapelekea zawadi ya Jezi tatu (3) za michezo. Sijui wakuu wa shule waligawanavipi