USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
wadau leo mwenyekiti wa baraza la vijana la chadema amefanya mazungumzo na katibu mkuu wa baraza la vijana la chama kinachoongoza ujerumani cha CDU, NIMETOKA KUZUNGUMZA NA BWANA HECHE kutoka BERLIN nchini ujerumani mda si mrefu, mazungumzo yalitaka zaidi mahusiano na kupeana uzoefu na mikakati ya kutengeza sera na kuziingiza kwenye ilani ya chama,habari zaidi kufuata