Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Jaman hizi sheria nyingine azina adabu zinaitaji kubadilishwa kabisa;kwa mliomsikia mama sophia simba waziri wetu wa utawala nyeti;ametangaza clouds agombei msimu huu,..alipoulizwa na kibonde wa clouds fm akasema kw a kweli mi ntakuwa tu mpiga debe;sheria za chama ukiwa mwenyekiti makam, katibu, we ni mbunge mtarajiwa huu ufioso jamani
wenzako wanahangaika majimboni huku kuna watu kabla ya uchaguzi wameshakuwa wabunge loh!!!shame ccm
mama simba nimeelewa kwa nini sasa zile pesa zilimwagwa kama njugu na rais wako kikwete akawa mstari wa mbele kuzishabikia na kukushabikia
loh!!! Chi chi em!!!!najuta kukufahamu
wenzako wanahangaika majimboni huku kuna watu kabla ya uchaguzi wameshakuwa wabunge loh!!!shame ccm
mama simba nimeelewa kwa nini sasa zile pesa zilimwagwa kama njugu na rais wako kikwete akawa mstari wa mbele kuzishabikia na kukushabikia
loh!!! Chi chi em!!!!najuta kukufahamu