Mandown
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 1,665
- 503
Natumai habari zitakufikia mana jamii forums inasomwa kila mahala.
Tatizo langu ni hawa mateja mtaani kwako wanabwia unga mpaka mlangoni kwako, mchana kweupe bila haya wafanya mabo haya, wajidunga sindano bila kificho, mbaya zaidi wakikoki lile jani, nadhani harufu yake inaingia mpaka ofisini kwako lakini umeziba masikio na macho, wasubiri kugongea watu mihuri tu wakupe buku!
Watu hawa wanahatarisha usalama wa mtaa, wanaiba hata ndala.
HEBU FANYA KAZI BASI MUHESHIMIWA
Tatizo langu ni hawa mateja mtaani kwako wanabwia unga mpaka mlangoni kwako, mchana kweupe bila haya wafanya mabo haya, wajidunga sindano bila kificho, mbaya zaidi wakikoki lile jani, nadhani harufu yake inaingia mpaka ofisini kwako lakini umeziba masikio na macho, wasubiri kugongea watu mihuri tu wakupe buku!
Watu hawa wanahatarisha usalama wa mtaa, wanaiba hata ndala.
HEBU FANYA KAZI BASI MUHESHIMIWA