Mwenyekiti wa MAT atakiwa kuripoti polisi

Hii move kamwe haitafanikiwa. Itafanya mambo yazidi kuwa mabaya. tatizo hatuna watu wanaofikiri bali wanaotumia mabavu na kupenda kuogopwa na kunyenyekewa wakati nafasi walizonazo ni za utumishi wa umma. hatuna sultani kwenye nchi hii. hakuna move yoyote njema bila win win agreement,no matter nani anaifanya.
 
Dr.Mkopi Simama imara kama Yesu mbele ya Pilato na Mafarisayo, na kama ni kichwa chako kubali kichukuliwe kama mtume Stefano na Yohana Mbatizaji kwa kukataa dhuluma na unafiki wowote.Watanzania weledi na wajuzi wa mambo ya Tanzania wapo na wewe daima.Wala USIOGOPE hata siku moja.
Real Watanzania wako naye! Real! What have been done by Tanzanian after Ulimboka scene? C'on guys lets be serious and stop talking and start acting now!!!!
 
Tusiwalaumu hawa CCM. tumeyataka wenyewe sisi WaTZ. Hili ndio tatizo la kuendesha nchi kwa mazoea.
 
Time will tell na MUNGU akiwa upande wetu ni nani atakayekua juu yetu????
 
Na wabunge nao bla bla tu! badala ya kuisukuma serkali imalize hili tatizo!
Wabunge wapi unaotaka waisukume serikali...hujasikia kuna kikosi cha kushughulikia wanaoisumbua serikali, kikiongozwa na Nzoka...
 
hivi tz tatizo ni nn?khaaaa,hawa viongozi wanaboa....c mlijifanya mgomo umeisha,tena mkatangaza kwa mbwe2 kulikoni kumshika dr mkopi?
 
drNamala usitetereke simama imara.dhuluma na manyanyaso ya hawa wauwaji yanakaribia kufika mwisho.utaandikwa kwenye historia ya profèsion yako kama mmojawapo ya watu waliosima imara kutetea profesn yake pamoja na haki,utu na usawa kwa watz masikini kupata huduma bora za afya.Mungu akutie nguvu
 
Si wanatangaza kwenye vyombo vya habari kuwa mgomo umekwisha?? na week iliyopita wakatuonyesha mgonjwa kabisa anaandaliwa kwa a surgical operation theater?? Sasa wanataka Dr. Mkopi asitishe mgomo upi??
 
kwa mujibu wa kiongozi wa MAT, Dr Namala Mkopi anahitajika central police kwa kosa la kukiuka amri ya mahakama.
haya hapa chini ni sehemu ya maneno yake...


my Take;MAT ni chama cha kitaaluma na hakijawahi kuitisha wala kuratibu mgomo.

nijuavyo mimi ule mgomo sio wa MAT na ndio maana akina ulimboka wakawa viongozi wa kamati

IS IT ME OR WHAT??? INA MAANA SYSTEM HAIJUI NANI NI NANI HATA KWENYE BASIC ISSUES KAMA HIZI?
 
Hivi kweli Tanzania tumeshindwa kuutatua huu mgogoro?
Wewe upo dunia ya wapi...au unafikiri mguu ni wa kushoto tu!!! wa kulia ni kitu kingine? Hakuna tena mgomo kwa vile Mwajiri kesha pitisha uamuzi: Anayeridhika na mshahara uliopo aendelee na kazi mara moja na anayeona mshahara huo ni kiduchu aondoke kwa amani na aende atakakolipwa zaidi!!
 
Nadhani Drs hawakufikiria strategically. Vitu vingi tunayaofanya huwa yanakuwa na Legal implication (hata kama upo sahihi).
Mgomo wowote una procedure zake na zinatakiwa kufuatwa. Mgomo unatakiwa kuratibiwa na chama kilicho kuwa registered, kinyume cha hapo utakuwa umevunja sheria na unaweza kupewa adhabu.
Think like Great Thinkers
 
mahojiano kati ya polisi na Namala bado yanaendelea!stay tuned!
 
Back
Top Bottom