Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
Mwenyekiti wa madaktari dkt stephen ulimboka ametishiwa usalama wake kwa njia ya sim na mtu aliyejitambulisha kuwa ni ofisa toka ofisi ya waziri mkuu kuhusu sakata la mgomo .
Pia... Mwenyekiti wa vijana wa ccm mkoa wa tanga naye kampigia cmu kumtishia
wote walimtaka kuhakikisha hili sakata linaisha kabla ya jumatatu hii ya tarehe 30/01/2012
Pia... Mwenyekiti wa vijana wa ccm mkoa wa tanga naye kampigia cmu kumtishia
wote walimtaka kuhakikisha hili sakata linaisha kabla ya jumatatu hii ya tarehe 30/01/2012