Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Mwenyekiti wa jukwaa la katiba ndugu Deus.jumapili iliyopita alitangaza maandamano nchi nzima iwapo bunge litapitisha mswada na kuwa sheria leo hii mswada umepitishwa na upande mmoja hali kadhalika wabunge wa cdm hawakuwapo je ndugu deus hujayaona ama ndo umefunika masikio?