mwenyekiti CUF kata ya jamhuri manispaa ya Lindi na kampeni meneja wa mbunge wa lindi mjini na mwenyekiti wa serikali wa kijiji cha mbanje wa ccm na wanachama zaidi ya 890 wamejiunga na chadema leo tarehe 6...
ni kwenye mkutano uliofanyika lindi mjini..
Jamani angalizo tujifunze matumizi ya neno na maana ya Breaking News ili neno lisipotezee maana yake halisi...Mods badilisheni hilo neno Breaking News.
Chadema rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!Kumekucha. Ooh,CHADEMA haikubaliki Kusini,mara ooh, CHADEMA cha kidini. CHADEMA nao hawataniwi?!