Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Aliyerudisha ni huyu mwenye kikofia huyu kitambi ni DC
Mwenye kitambi sio DC, huyo ni RC Mwananzila (alihamishwa kutoka shinyanga kimya kimya!)
Aliyerudisha ni huyu mwenye kikofia huyu kitambi ni DC
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.
source:mjengwa na michuzi blogs
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.
source:mjengwa na michuzi blogs
Uyu bilali yupo kwenye ziara za ccm au za serekali mana sielewi
Nafarijika sana ninaposikia habari za mamluki kujiengua,CDM sio chama cha posho kama CCM,ni bora ameondoka akaungane na wazee wa madili ya unyonyaji.
Ukiona mtu anakimbilia meli inayozama.........Mwaka mbaya kwa Magwanda...
Mhhhh kama shigongo.com
amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais mohamed ghalib bilal.makamu wa rais dkt. Mohammed gharib bilal, akionyesha kadi ya chadema baada ya kukabidhiwa na hassan mkope (kulia) aliyekuwa mwenyekiti wa chadema wa wilaya ya nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na ccm. Makamu ameanza ziara yake katika mkoa wa lindi jana januari 20.
Source:mjengwa na michuzi blogs