Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.
source:mjengwa na michuzi blogs
source:mjengwa na michuzi blogs