ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Bw. Geophrey Shayo mwenyekiti wa CHADEMA sumbawanga amechoshwa na udanganyifu ulioko chadema ameamua kurudi ccm.
Amepewa kadi ya ccm na Eng Stella Manyanya mkuu wa mkoa wa rukwa..
Kuna nini huko chadema acheni kudanganya wanachama???
Source: Michuzi blog
Kwani lini alikuwa CCM? Halafu kadanganywa nini? Niwajuavyo CCM, wangetaja kadanganywa nini lakini kama hata Rejao hajasema analalmika kudanganywa kitu gani, basi ni wazi hayazungumziki means ni kinyume na maadili ya jamii