Hakuna kosa ambalo watafanya chadema mbeya kama kumtoa mzee wa upako.tunajua jinsi ambavyo eddo anatumiwa na ccm kuivuruga chadema lakini kiukweli. Mwambigija ni noma sana na kwa siasa ya mbeya huyu jamaa anatufa sana.
Kwanza nilikuwepo cku hiyo,mpaka Mwambigija anamaliza kuhutubia ckuona kitu kama hicho,hata hivyo,ni kwa 7bu humfahamu Mwambigija,nasema kweli,kama Mwambi ataendelea kuwa mwenyekiti Chadema iko hatarini Mby MjiniWanaompinga Mwambigija ni vibaraka wa Shitambala/ccm
Hata mimi hii picha nasema hapana bana, hebu iangalien kwa mkini wadauHiyo picha yenyewe imepigwa kimagumashi gumashi, toa hapa propaganda zenu za nyinyiem, CDM waelimisheni watu wa mbeya, mob physchology inaweza kutumika kuharibu chama. take care. Unrestless people suspects anything na uwezo wa kufikiri unashuka, ndivyo ilivyo kwa watanganyika kwa sasa.
Narudia siku hiyo mimi nilikuwepo,hakikutokea kitu kama hicho,lakini kuhusu ugomvi wa Eddo na Mwambigija,ni upuuzi alioufanya Dr,Slaa.wekeni ktk kumbukumbu zenu ipo ck tutamwelewa Eddo!Hii ni hatari bango halionyeshi mkutano au maandamano kama ilivyo ada, huo ni uzushi, huyo Eddo atukome kabisa na unafiki wa kisiasa. Hapo sio SIDO ni ofisi za magamba soko matola mbeya