Huyu muhehe mkweli sana, amewapa LIVE wabeba box in three dimension. Kweli inasikitisha kuona watu wenye Masters za Uk wanashindwa kuja kutumika vizuri hapa nyumbani kutokana na mfumo mbovu tulionao na kuona ni afadhali wapige BOX UK. Kama nchi ingekuwa na mfumo mzuri na unaothamini wasomi, watu hawa na wengine wengi wangeweza kuleta mageuzi makubwa katika maendeleo ya Taifa hili lenye neema nyingi zinazoishia mikononi mwa wachache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.