Kwa kweli hii pronouncement imetoka prematurely maana kama source iliyommegea ni ya uhakika basi kulikuwa hakuna haja ya kutuomba tufanye subira kupata confirmation. Labda na mimi nitapenda kujua, kama kifo hicho kinatoa mabadiliko yoyote kwa siasa za uchaguzi wa ubunge wa jimbo la Kyela.
Ameugua gafla?
Mungu ailaze mahala pema roho ya marehemu.
Fidel80,
Nafikiri ameumwa kwa muda. Hivi karibuni kulikuwa na vikao muhimu sana vya CCM wilayani Kyela na vyote hakuhudhuria kwasababu ya kuumwa.
Tatizo la BP au Kisukari, hata ukimwona mtu barabarani ni ngumu kujua kwamba anaumwa.