Ilikuwa mida ya Saa Kumi wakati CDM wakifunga mkutano eneo la Sing'isi,Mwenyekiti wa Tawi CCM na Balozi wa Mtaa wamemkabidhi kadiza CCM Dr W.Slaa na kupewa kadi za CDM.
Ilikuwa ni shamrashamra kwa wana Kijiji kwani walionekana kuchoshwa na ahadi hewa za CCM na kuamua kuWaunga Mkono viongozi wao walioamua kuhamia CHADEMA.
Nawasilisha...
Ilikuwa ni shamrashamra kwa wana Kijiji kwani walionekana kuchoshwa na ahadi hewa za CCM na kuamua kuWaunga Mkono viongozi wao walioamua kuhamia CHADEMA.
Nawasilisha...