Kama ni yanaukweli basi Demokrasia bado sana... Collins Powell alisema kwenye television kuwa atampigia kura OBAMA na chamachake hawakumfanya chochote....hiyo ndio Demokrasia...sasa siasa hatuiwezi yani uchukiane na MAMA kisa Siasa ya U CCM na U Chadema!!!shame!!!:embarrassed: