Tunaomba CDM wawe watulivu zaidi kwani NGUVU ya UMMA ipo nyuma yao " AMENI "
<br />Mie nilisha sema kwamba vurugu zozote na kusababisha uvunjifu wa amani chanzo kitakuwa polisi na CCM yao .Why CCM kuilia na jimbo moja wakati wana majimbo mengi tu na wako wengi Bungeni ?
Hao wanaume wenu ndio kabisaa afya gogoro afadhali na huyo DC,wamebaki kuanguka anguka bila kusukumwa na mtu.Wataweza nguvu ya BAVICHA hao?Angekuwa si mwanamke msingethubutu nyamafu nyie..
Hao wanaume wenu ndio kabisaa afya gogoro afadhali na huyo DC,wamebaki kuanguka anguka bila kusukumwa na mtu.Wataweza nguvu ya BAVICHA hao?
<br />huyu mwenyekiti anatakiwa awe makini na maneno yake,kwanza kitendo walichomfanyia mkuu wa wilaya ni udhalilishaji,pili hawana adabu vijana walioenda kumtoa maana nilikuwepo eneo la tukio na hawakumtendea haki kumsikiliza kwani alikuwa akijitetea .tatu mtuwekee ushahidi halisi kuwa alikuwa anapanga kuwaingilia uchaguzi wenu?
Bora damu kumwagika kuliko jimbo kupotea kwa wizi
busara zitumike katika kutatua maamuzi magumu
fujo hazitajenga, tunajua CDM kinapendwa na vijana wengi kiasi kwamba Viongozi wakiwamulisha kufanya vurugu wengi wata kubali kitu ambacho hatuombei kitoee. Tunaomba CDM wawe watulivu zaidi kwani NGUVU ya UMMA ipo nyuma yao " AMENI "
Utawatii milele na utakanyagwa shingoni milele zuzu mkubwa.Hiki ni chama cha kutangaza vita? hata vitabu vya dini vinasema watiini walioko kwenye mamalaka!