Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Title yausika : source jungu kuu Tbc taifa! Anaitwa Benedict ngwenya Kahusika na ubadhirifu wa fedha (80million) kwenye kampuni (DAE LTD )aliyokuwa anafanya kazi Kama mhasibu! Pia ni katibu wa mbunge John komba!