Mwenyekiti tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) astaafu

Wana Jf.Taarifa nilizozipata hivi leo ni kuwa Mwenyekiti Tume ya Taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Lewis Makame amestaafu kushikilia wadhifa huo.Mwenyekiti huyo amestaafu rasmi tangu tar 14/6 lakini kwa sasa bado haijatangazwa in public kwa kuwa anasubiri kukabidhi ofisi rasmi mara tu bada ya mtu mwengine kuteuliwa kushika wadhifa huo.Taarifa zinasema mwenyekiti huyo ilikua astaafu tangu mwaka nov 2004 lakini aliombwa na aliyekuwa Rais Ben Mkapa aendelee kushikilia nafasi hiyo kwa sababu kulikua na uchaguzi mkuu mwaka unaofuata jimbo ambalo lilihitaji mtu mwenye uzoefu.Mwaka 2009 alitaka kuachia ngazi tena akidai uzee umeshamchukua lakini Rais Kikwete alimuomba tena mzee huyu abaki Nec ili kusimamia uchaguzi mkuu uliopita mwaka jana ambao Rais Kikwete alishinda kwa mbinde.Mzee huyu ni mwenyekiti wa kwanza wa tume ya uchaguzi Tanzania jambo linalomfanya atumike sana kwa ushauri katika uchaguz wa nchi jirani kama Congo, Zimbabwe n.ksource: Chanzo Makini

Ukisoma katiba ya JMT kifungu 74 (4) unaona kuwa Ben Mkapa na Jakaya Mrisho wamevunja katiba ambayo waliapa kuifuata, kuilinda na kuitetea. Kipindi cha mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni miaka mitano tu, na wala hakuna kifungu kinachosema kuna kuongeza. Pili uzee wa huyo jamaa ndio umetufikisha hapa tulipo. Je, Augustino Ramadhani anaweza kutusaidia? Kiboko ya njia ni Robert Kissanga!!!
 
Tatizo atateuliwa mwingine na mwenye madaraka naye atakuwa na ubia na chama cha kijani,suala na maana hapa ni kubadilisha katiba ili kuweka sawa utaratibu wa kuwekana kwenye kiti hicho muhimu.
 
alistaafu ujaji akawa yupo NEC na sasa kastaafu u-Chairman NEC, hope umenielewa

Utastaafu vipi mara mbili? Nadhani hakupaswa kuteuliwa kuwa tume ya uchaguzi. Badala yake angeteuliwa mtu ambaye kisheria bado yupo katika umri wa utumishi.
 
Namuombea maisha marefu ili waweze kuona mabadiliko ya kweli na kujutia kazi ya mikono yake iliyowacheleweshea Watanzania haki na maendeleo yao. Naamini akipata tena maisha marefu kidogo huenda akajutia kutumika kwake kubaya dhidi ya nchi yake!

Daima hatutakusahau tangu Enzi za Lyatonga, ikiwa ni pamoja na kuvuruga chaguzi za mwanzo kama majimbo yote ya Dar es salaam mwaka 1995, na kutangaza matokeo ya uongo wazi wazi 2010. Historia itakukumbuka. Nenda Makame, nenda!
 
Tatizo atateuliwa mwingine na mwenye madaraka naye atakuwa na ubia na chama cha kijani,suala na maana hapa ni kubadilisha katiba ili kuweka sawa utaratibu wa kuwekana kwenye kiti hicho muhimu.
Mkuu anaeteua ni Jakaya ****** we unategemea nini hapo?!
 
Yeye aende tu!!

Amedhalilisha weledi wake saaana!! Kukubali kuburuzwa na dola!!!

Nenda mwana kwenda mzee wao!!!
 
yaani napata picha akiwa pale maelezo akisoma matokeo ya kura za urais

Mzee ni kiboko kwa uchakachuzi.
 
Wana Jf.Taarifa nilizozipata hivi leo ni kuwa Mwenyekiti Tume ya Taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Lewis Makame amestaafu kushikilia wadhifa huo.Mwenyekiti huyo amestaafu rasmi tangu tar 14/6 lakini kwa sasa bado haijatangazwa in public kwa kuwa anasubiri kukabidhi ofisi rasmi mara tu bada ya mtu mwengine kuteuliwa kushika wadhifa huo.Taarifa zinasema mwenyekiti huyo ilikua astaafu tangu mwaka nov 2004 lakini aliombwa na aliyekuwa Rais Ben Mkapa aendelee kushikilia nafasi hiyo kwa sababu kulikua na uchaguzi mkuu mwaka unaofuata jimbo ambalo lilihitaji mtu mwenye uzoefu.Mwaka 2009 alitaka kuachia ngazi tena akidai uzee umeshamchukua lakini Rais Kikwete alimuomba tena mzee huyu abaki Nec ili kusimamia uchaguzi mkuu uliopita mwaka jana ambao Rais Kikwete alishinda kwa mbinde.Mzee huyu ni mwenyekiti wa kwanza wa tume ya uchaguzi Tanzania jambo linalomfanya atumike sana kwa ushauri katika uchaguz wa nchi jirani kama Congo, Zimbabwe n.ksource: Chanzo Makini

Hizi taarifa nitaziamini tu pale nitakapomuona mwenyewe akitangaza kuachia ngazi. Huyu mzee kachoka mno bado kang'ang'ania tu!
 
Wana Jf.Taarifa nilizozipata hivi leo ni kuwa Mwenyekiti Tume ya Taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Lewis Makame amestaafu kushikilia wadhifa huo.Mwenyekiti huyo amestaafu rasmi tangu tar 14/6 lakini kwa sasa bado haijatangazwa in public kwa kuwa anasubiri kukabidhi ofisi rasmi mara tu bada ya mtu mwengine kuteuliwa kushika wadhifa huo.Taarifa zinasema mwenyekiti huyo ilikua astaafu tangu mwaka nov 2004 lakini aliombwa na aliyekuwa Rais Ben Mkapa aendelee kushikilia nafasi hiyo kwa sababu kulikua na uchaguzi mkuu mwaka unaofuata jimbo ambalo lilihitaji mtu mwenye uzoefu.Mwaka 2009 alitaka kuachia ngazi tena akidai uzee umeshamchukua lakini Rais Kikwete alimuomba tena mzee huyu abaki Nec ili kusimamia uchaguzi mkuu uliopita mwaka jana ambao Rais Kikwete alishinda kwa mbinde.Mzee huyu ni mwenyekiti wa kwanza wa tume ya uchaguzi Tanzania jambo linalomfanya atumike sana kwa ushauri katika uchaguz wa nchi jirani kama Congo, Zimbabwe n.ksource: Chanzo Makini

Atakuwa amestaafu mara mbili sasa..........alishastaafu kuwa Jaji....nadhani hii ni historia mtu kustaafu mara mbili
 
Na hilo ni kama tone moja la maji katika bahari! kuwa viongozi wengi kwenye taasisi nyeti za serikali ambao hawatakiwi kuwepo kwenye nafasi zao, lakini wanaendelea kuwepo kwa kisingizio cha uzoefu/utaalamu/sifa/na upuuzi mwingine.
Kuna idara moja pale UDSM mkuu wa kitivo alikuwa hataki kuajiri ikafika kipindi kitivo kiko hoi bin taabani bado mzee wa watu kakomaa! bajeti ikija anabana na mwisho wa mwaka anarudisha hela utawala kama salio (na ile hela wanagawana). Mzee wa watu katoka, watu wameshtuka kuwa kitivo/chuo hakina walimu wa kutosha. Ndo haya ya akina makame na serikali yetu.
Vijana tupo tupeni nafasi tunaweza tena efficiency karibu 100% lakini wazee wetu wanatafuta kusurvive na siyo kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu.

Ni-PM hicho kitivo na jina la huyo Mzee
 
Ukisoma katiba ya JMT kifungu 74 (4) unaona kuwa Ben Mkapa na Jakaya Mrisho wamevunja katiba ambayo waliapa kuifuata, kuilinda na kuitetea. Kipindi cha mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni miaka mitano tu, na wala hakuna kifungu kinachosema kuna kuongeza. Pili uzee wa huyo jamaa ndio umetufikisha hapa tulipo. Je, Augustino Ramadhani anaweza kutusaidia? Kiboko ya njia ni Robert Kissanga!!!

Tatizo atateuliwa mwingine na mwenye madaraka naye atakuwa na ubia na chama cha kijani,suala na maana hapa ni kubadilisha katiba ili kuweka sawa utaratibu wa kuwekana kwenye kiti hicho muhimu.

Utastaafu vipi mara mbili? Nadhani hakupaswa kuteuliwa kuwa tume ya uchaguzi. Badala yake angeteuliwa mtu ambaye kisheria bado yupo katika umri wa utumishi.

Namuombea maisha marefu ili waweze kuona mabadiliko ya kweli na kujutia kazi ya mikono yake iliyowacheleweshea Watanzania haki na maendeleo yao. Naamini akipata tena maisha marefu kidogo huenda akajutia kutumika kwake kubaya dhidi ya nchi yake!

Daima hatutakusahau tangu Enzi za Lyatonga, ikiwa ni pamoja na kuvuruga chaguzi za mwanzo kama majimbo yote ya Dar es salaam mwaka 1995, na kutangaza matokeo ya uongo wazi wazi 2010. Historia itakukumbuka. Nenda Makame, nenda!


Utashaanga kusikia anagombea Ubunge kwa ticket ya CCM.
 

Utashaanga kusikia anagombea Ubunge kwa ticket ya CCM.
Huyu choka mbaya. Hataiweza mikiki mikiki ya siasa za Tanzania tena. Tz ya sasa imeshabadilika kiasi cha kutosha na kwa wasomao alama za nyakati watatumia vijisenti vyao kujiweka karibu na familia zao kujaribu kujitafutia japo mwisho mwema, hasa ukitilia maanani uovu waliofanyia Tz kwa kupenda ua kushinikizwa.

Nawachukia sana kina KIVIUTU!
 
Hajastaafu watakuwa wamemuweka mahususi kwa ajili ya kuchakachua KATIBA MPYA atakuwa amejichimbia mahali ili likitokea la kuzuka kwenye mchakato huo anakufa kifo cha BALAI.
 
Wana Jf.Taarifa nilizozipata hivi leo ni kuwa Mwenyekiti Tume ya Taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Lewis Makame amestaafu kushikilia wadhifa huo.Mwenyekiti huyo amestaafu rasmi tangu tar 14/6 lakini kwa sasa bado haijatangazwa in public kwa kuwa anasubiri kukabidhi ofisi rasmi mara tu bada ya mtu mwengine kuteuliwa kushika wadhifa huo.Taarifa zinasema mwenyekiti huyo ilikua astaafu tangu mwaka nov 2004 lakini aliombwa na aliyekuwa Rais Ben Mkapa aendelee kushikilia nafasi hiyo kwa sababu kulikua na uchaguzi mkuu mwaka unaofuata jimbo ambalo lilihitaji mtu mwenye uzoefu.Mwaka 2009 alitaka kuachia ngazi tena akidai uzee umeshamchukua lakini Rais Kikwete alimuomba tena mzee huyu abaki Nec ili kusimamia uchaguzi mkuu uliopita mwaka jana ambao Rais Kikwete alishinda kwa mbinde.Mzee huyu ni mwenyekiti wa kwanza wa tume ya uchaguzi Tanzania jambo linalomfanya atumike sana kwa ushauri katika uchaguz wa nchi jirani kama Congo, Zimbabwe n.ksource: Chanzo Makini
Aje huku kwa wananchi atueleze alivyolazimishwa au kuongoza uchakachuaji wa matokeo yaliyomweka JK na Magamba kileleni.
Tunamsubiri, jamani tumuulizeni sasa na atupe majibu huru kabisa.
 
Back
Top Bottom