Mwenyekiti Mbowe, tazama vijana wa chama na upuuzi wao

Ningefurahi kama ungemwambia straight Zitto maneno haya kipindi analeta hoja za Urais lakini hukusema wala kuandika chochote zaidi ya kumtetea sana tu alafu leo unakuja eti kuwafunza vijana! alafu elimu yenyewe inatolewa na wewe!

Huoni hata aibu unaposhambulia watu real wakati wewe ukiwa na fake ID, yaani wewe ni fake kwenye kila ulichonacho na unachosema.
Huyu hapa ni Grayson M Nyakarungu na mwingine ni Zuberi Z Kabwe, lakini wewe unakuja hapa na fake ID eti MTAZAMO na kupoteza muda mwingi kushambulia watu wa ukweli.
Najua ujasiri wako wa kushambulia hauendi mbali zaidi ya nyuma ya keybord yako hivyo huna madhara, just like a barking toothless dog!.
Alichokisema Nyakarungu ni cha ukweli na cha msingi sana, lakini kwa kilaza kama wewe uliyeghubikwa na chuki na ubaguzi hayatakuingia akili, labda yawe yametamkwa na mtu toka mlimani.
 
Hoj ni nzuri,mleta mada yuko sahihi,kwa mtu mwenye kuitakia mema CHADEMA lazima aseme kile anachokiona ni kibaya na kinainyemelea.Uongozi wowote unaokubali kukosolewa kwa dhati ndo mzuri.
 
Naona akili za nyerere zinaanza kurudi TANZANIA,HONGERA KWA KUWAFUNDISHA WASIWE NA TAMAA
 
Hoj ni nzuri,mleta mada yuko sahihi,kwa mtu mwenye kuitakia mema CHADEMA lazima aseme kile anachokiona ni kibaya na kinainyemelea.Uongozi wowote unaokubali kukosolewa kwa dhati ndo mzuri.

Thanks mayenga
 
Mkianza majungu kama ya UVCCM nitawashangaa sana nyinyi Vijana, hebu think big wewe kama kweli ni Kijana, nimesoma bandiko lako lakini sijaona lolote la maana zaidi ya ushuzi mtupu.

Let me tell u something, mimi kama Matola si mwanachama wa Chadema, lakini i believe in Chadema kwa sababu mimi siyo muumini wa kadi, nitakapohitaji kadi nitachukuwa muda wowote maana wanaonifahamu ni vigumu wao kuamini kama mimi sina kadi ya Chadema

Na ndio maana nilimshangaa sana mtu kama Zitto kabwe kwenye Twitter yake kuongea vitu vya kipuuzi kwamba kuna watu wameijuwa Chadema baada ya 2010 kumbe hajui kwamba tupo watu ambao tunatowa msaada mkubwa kwa chama bila kutaka sifa wala kujulikana na wala bila malengo ya kupata uongozi bali ni kiu ya mabadiliko ndio inatusukuma.

Kwahiyo nakuomba sana mleta mada, hizi tabia za UVCCM ni hatari na hazifai na wala hazina tija yoyote kwa afya ya chama chako.
 
Nasema upuuzi wa vijana wa ndani ya chama umekua kiasi kwamba hawajitambui tena, naona katika mitandao wanakesha wakiwaza uchaguzi tu, uchaguzi wa ubunge, udiwani, urais na ndani ya chama, ni sahihi kabisa kwa mwanachama kuwa na malengo ya kuwa kiongozi hata mimi lengo langu kubwa ni kuwa kiongozi wa kisiasa kama nilivyo huku katika idara yangu ya utumishi.

Ila ukweli ni kwamba kwa sasa vijana wengi wa chama chetu kutwa kucha wanajadili nani awe mwenyekti wa chama na nani awe mgombea ubunge eneo fulani. Hali hii imewapelekea wawe watu wasio na upeo wa kutafakari mambo na kuchambua hoja, wamelegea na kuridhika na upepo wa kisiasa uliopo na kuiona ikulu au ukumbi wa bunge kabla ya uchaguzi miaka 3 mbele.

Ni hatari sana hii, nawaona wengi mitaani na kwenye mitandao na wengine wakianza kutangaza nia hadharani, hali inayopelekea kuishiwa uwezo wao wa kufikiri na kuwa masanamu yanasubiri kulaani tu na kutoa matamko au vitisho kwa jeshi la polisi na kwa viongozi wa serikali...

hata ndani ya mtando huu na mingine kuna hao masanamu wanadhani wao wanahaki zaidi ya wanachama wengine, wanataja majina ya wagombea urais na uwenyekti wa chama ni upumbavu mtupu na kuishiwa uwezo wa kufukiri, kuwataja watu kuwa watawania nafasi fulani ni kuhamisha nia ya pamoja ya kushughulika na chama kwanza kukiimarisha..wao wamekuwa majuha wa kuwaza mitafaruku t
u.

Watu wapuuzi huwaza upuuzi mara zote,wapuuzi hawa huwatafuta wapuuzi wenzao kwa gaharama yoyote ili wajadili upuuzi wao, usifungwe katika genge la kujadili upuuzi.

Umejuaje kuwa kila mchangiaji hapa JF anayetaja "majina ya urais na uwenyekiti wa chama" ni kijana au mwanachama wa Chadema??
Umejuaje ?? maana wachangiaji wengi humu wanatumia majina bandia au nick-names.
Kwa hiyo, kwa uelewa wako wewe, kila mchangiaji, akitaja tu kuhusu urais na uenyekiti wa Chadema, basi mchangiaji huyo ni 'kijana' wa Chadema !!
Umeandika maneno kama "upuuzi, masanamu, n.k". Sasa sijui kama ulikuwa unajiongelea wewe mwenyewe au ulikuwa unaongelea hao 'vijana' !!
Duh, kweli kazi ipo hapa JF.
 
Thread za kizuzu hizi! Sasa kama mtu umeishiwa vitu vya kupost ni bora uendee kule jukwaa la mapenzi, pia kusema vijana wenzako ni masanamu pia huo ni upunguani uliokubuhu. Jenga chama na kazi tuione kama wakina Heche lakini sio kuleta ushauri wa kijuha na kizuzu humu.
 
Huoni hata aibu unaposhambulia watu real wakati wewe ukiwa na fake ID, yaani wewe ni fake kwenye kila ulichonacho na unachosema.
Huyu hapa ni Grayson M Nyakarungu na mwingine ni Zuberi Z Kabwe, lakini wewe unakuja hapa na fake ID eti MTAZAMO na kupoteza muda mwingi kushambulia watu wa ukweli.
Najua ujasiri wako wa kushambulia hauendi mbali zaidi ya nyuma ya keybord yako hivyo huna madhara, just like a barking toothless dog!.
Alichokisema Nyakarungu ni cha ukweli na cha msingi sana, lakini kwa kilaza kama wewe uliyeghubikwa na chuki na ubaguzi hayatakuingia akili, labda yawe yametamkwa na mtu toka mlimani.

Jibu hoja kijana, ID inahusiana nini na hoja? akili zenu tunazijua! Wewe unatumia real name? mwambie invisible aku verify na huyo Nyakarungu! asiyetumia ID fake ni aliye Verify tu ndugu yangu, wote hamja verify majina yenu humu!!
 
Umejuaje kuwa kila mchangiaji hapa JF anayetaja "majina ya urais na uwenyekiti wa chama" ni kijana au mwanachama wa Chadema??
Umejuaje ?? maana wachangiaji wengi humu wanatumia majina bandia au nick-names.
Kwa hiyo, kwa uelewa wako wewe, kila mchangiaji, akitaja tu kuhusu urais na uenyekiti wa Chadema, basi mchangiaji huyo ni 'kijana' wa Chadema !!
Umeandika maneno kama "upuuzi, masanamu, n.k". Sasa sijui kama ulikuwa unajiongelea wewe mwenyewe au ulikuwa unaongelea hao 'vijana' !!
Duh, kweli kazi ipo hapa JF.

Hiyo shughuli inafanyika kwa ustadi sana huko kwa facebook na kwakuwa wanaofanya hivyo vituko wanafahamiana ni vijana, sasa sielewi kwanini ameamua kuja kuwachana hapa JF badala ya huko huko facebook.

Ndio maana nikamshauri awe wa kwanza kujirekebisha kabla hajamnyooshea kidole mtu yeyote kwakuwa haya anayoyalalmikia ndio anayoyafanya kila kukicha.
 
Power mongering.
Power lust.
Kiarusha hawa tunaita wasoma ramani. Fikra zao zinawatuma kuwa with the coming elections and the fate of cdm, huenda wakapiga bao...upumbavu huu!
Ukitazama so far wanakifanyia nini chama utakuta hawana lolote zaidi ya kuwa na kadi ya chama iliyotolewa kwa mtindo wa papo kwa papo!
Hata cdm ikikamata dola kesho, watakaoiua na kuisababishia iondolewe ni hawahawa, maana hawana cha kudeliver.
Wizi mtupu!!
mkuu kumbe sisi tunaopewa kadi kwenye maandamano na mikutano hatuna thamanI? nilikua sijui, asante kwa kunijulisha.
 
mada yako ni nzuri,bora umewaeleza wazi kinachotakiwa ni kuimarisha chama na c kutafuta madaraka saa hizi, itakuwa ni uchu wa madaraka sasa, wasichafue chama bwana....:sleepy:
 
mkuu kumbe sisi tunaopewa kadi kwenye maandamano na mikutano hatuna thamanI? nilikua sijui, asante kwa kunijulisha.

Ni makosa kwa Chama cha siasa kuchukuwa Wanachama wa papo kwa papo. mimi sina kadi ya Chadema lakini ni zaidi ya hao wanachama kwa sababu nipo kiitikadi zaidi, na ukiwa na itikadi wala huwezi kusubili papo kwa papo bali utatafuta ofisi zilipo na utajiandikisha uanachama.
 
Ni makosa kwa Chama cha siasa kuchukuwa Wanachama wa papo kwa papo. mimi sina kadi ya Chadema lakini ni zaidi ya hao wanachama kwa sababu nipo kiitikadi zaidi, na ukiwa na itikadi wala huwezi kusubili papo kwa papo bali utatafuta ofisi zilipo na utajiandikisha uanachama.

Nimefurahia michango yako kwenye uzi huu, unalonga sahihi kabisa ila nitatofautina na wewe kidogo ingawa tuko pamoja, ni kwamba wanachama wa papo kwa papo si wabaya kihivyo, kwani wapo ambao wakiingia wanakuwa na itikadi kweli kweli tena hutaweza kuwaondoa ktk mstari watakosimamia, hao wanakuwa sawa na binadamu anayetokea kuhudhuria mahubir ya watumishi wanaohubiri viwanja vya wazi kama kina moses kulola, mtu akipokea wokovu anakuwa bora kuzidi hata yule aliyeanzia kubatizwa.

The same ktk siasa wanachama wanajiunga acha waingie kwa wingi lakini ufuatiliaji wa mienendo yao unatakiwa kama wanavyofanya kwa sasa CDM, kufukuza wanachama watovu wa nidhamu ni sahihi kabisa ili kubaki na mbegu bora zitakazopandwa na kumea vizuri hatimaye matunda yataonekana.

Asante Matola
 
Last edited by a moderator:
Ningefurahi kama ungemwambia straight Zitto maneno haya kipindi analeta hoja za Urais lakini hukusema wala kuandika chochote zaidi ya kumtetea sana tu alafu leo unakuja eti kuwafunza vijana! alafu elimu yenyewe inatolewa na wewe!
Nyakarungu asiwapeni taabu sana ana tatizo dogo sana kuliko mnavyofikiri! tatizo lake ni kwamba siku nyingi sana hajala vimolo! unajua kwetu usipopata vimolo angalau mara moja kwa miezi sita watu wanaweza wakawa hawakuelewielewi! hili tatizo kwetu huwa linajulikana kama UPUNGUFU WA VIMOLO DAMUNI yaani UVIDA. Poti nyakarungu tuwasiliane haraka nikupe vimolo nimetoka foti majuzi ninavvyo vya kutosha!
 
Huoni hata aibu unaposhambulia watu real wakati wewe ukiwa na fake ID, yaani wewe ni fake kwenye kila ulichonacho na unachosema.

Huyu hapa ni Grayson M Nyakarungu na mwingine ni Zuberi Z Kabwe, lakini wewe unakuja hapa na fake ID eti MTAZAMO na kupoteza muda mwingi kushambulia watu wa ukweli.

Najua ujasiri wako wa kushambulia hauendi mbali zaidi ya nyuma ya keybord yako hivyo huna madhara, just like a barking toothless dog!.

Alichokisema Nyakarungu ni cha ukweli na cha msingi sana, lakini kwa kilaza kama wewe uliyeghubikwa na chuki na ubaguzi hayatakuingia akili, labda yawe yametamkwa na mtu toka mlimani.

kaka hakuna haja ya kuwajibu kwa hasira, hawa ndio aina ya vijana ninaowazungumzia, na ndio maana ckutoa mfano nilijua watajitanabaisha wenyewe hadharani tu kama ilivyodhihirika.

hawa wenye ID feki na wenye maneno makali na yenye uchungu na chama, teh tehee,...wanaojua chama sana na wanajua makundi ya urais, usimjibu mpuuzi, usije ukanana nae...nawajua wote hawa na wanajua kazi wanayoianya isiyo na madhara kwangu, nawataka wajitokeze kwa majina yao kama mimi tujadili kama wanao ujasiri, najua hata tukunapo nao uso kwa uso hawana jeuri ya kuyasema haya wayasemayo.

Acha watoe hasira zao tu wakimaiza adrenalin hormone kwenye bile of langer hern watapumua tu
 
Landed Nairobi safely, waiting for tomorrow event in Nairobi University, julius malema is also the participant of this 3 days event, facilitators are frm Ghana, Sweden and S.A.
 
[h=6]Ukweli ni siri kubwa kama ilivyo siri ya kifo kwa mtu, anaejua ni Mungu pekee, ila tofauti kati ya usiri wa ukweli na kifo ni kuwa ukweli anaujua Mungu na mtu anaeusema, ila siku ya kifo anaijua Mungu pekee. Nyakarungu 2012[/h]
 
Back
Top Bottom