Mr Suggestion
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 605
- 308
Kwa jinsi mnavyokisimulia kifo hicho basi huenda marehemu aliwafanyia kitu kibaya wenzake ndo maana wakaamua wachukue maamuzi magumu. Na hayo mauwaji sio kama nayafurahia lakini huenda yakaongezeka kutokana na ugumu wa maisha unavyozidi hivi sasa, rejea miaka ya themanini na mwanzoni mwa miaka ya tisini, kimsingi kwa sasa Tabora hari yake ni mbaya mmno vijana wengi wako kitaani wanacheza bao na drafti tu kiwanda kilichokuwepo cha nyuzi kule mwanza road kimefungwa, reli kapewa mhindi, Unaweza kumkuta kijana toka azaliwe hajatoka nnje ya mji yaani yeye ni kanyenye, kiloleni, isevya, ipuli, tambukaleli nk
My take
Serikari waliangalie kwa makini suala la ajira kwa vijana wa mkoa wa Tabora ili kuondoa gap kati ya masikini na tajiri
My take
Serikari waliangalie kwa makini suala la ajira kwa vijana wa mkoa wa Tabora ili kuondoa gap kati ya masikini na tajiri