Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Diwani wa kata ya MIYENZE NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA UYUI AMEUWA KWA KUPIGWA RISASI NA WATU WASIOJULIKANA USIKU WA KUAMKIA LEO NYUMBANI KWAKE IPULI MJINI TABORA.
Nimepokoa kwa maskitiko makubwa taarifa ya msiba huu mzito na mkubwa kwa wanauyui wote hasa wapenda maendeleo.Kwani Mh.alikuwa mtu wa watu,mpenda maendeleo.Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe!
Nimepokoa kwa maskitiko makubwa taarifa ya msiba huu mzito na mkubwa kwa wanauyui wote hasa wapenda maendeleo.Kwani Mh.alikuwa mtu wa watu,mpenda maendeleo.Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe!