Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya, ndugu Emmanuel Mlak, ambaye ni muasisi wa CHADEMA, Tawi la Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa, awekwa ndani kwa siku mbili baada ya kuiba vitu akishirikiana na wenzake wa eneo la Semtema amabo ni wezi.
Kiongozi mmoja wa CHADEMA Taifa ambaye ni Mbunge, kamtoa sasa polisi kwa gharama ya Sh. 350000, ili kesi ifutwe na wamekabidhiwa walioibiwa.
Vitu alivyoiba ni pamoja na radio, mabegi 2, nguo za kike na suti 2, kibaya zaidi ni kwamba anamiliki funguo bandia kufungulia hostels za wanafunzi na nyumba za watu jirani. Pia bwana Mlaki anaendelea kutuhumiwa kutumia mihuri ya Mkuu wa Chuo, Dean of students na mhasibu wa chuo kujipatia fedha toka kwa wahisani wa CHADEMA na viongozi wa juu wa CDM.
Serikali ya wanafunzi imeonelea swala hilo liende uso wa sheria za Chuo ili kulinda Image ya Chuo.
Mlaki amemtumia mbunge wa Iringa Mjini ili amsaidie kuongea na Mkuu wa Chuo juu ya jambo hilo.
Twasubiri hatua za Mbunge huyo katika jitihada za Kumnasua M/kiti huyo wa BAVICHA.
Hawa ndio viongozi wa kesho wa CHADEMA
Naomba kuwasilisha.
Kiongozi mmoja wa CHADEMA Taifa ambaye ni Mbunge, kamtoa sasa polisi kwa gharama ya Sh. 350000, ili kesi ifutwe na wamekabidhiwa walioibiwa.
Vitu alivyoiba ni pamoja na radio, mabegi 2, nguo za kike na suti 2, kibaya zaidi ni kwamba anamiliki funguo bandia kufungulia hostels za wanafunzi na nyumba za watu jirani. Pia bwana Mlaki anaendelea kutuhumiwa kutumia mihuri ya Mkuu wa Chuo, Dean of students na mhasibu wa chuo kujipatia fedha toka kwa wahisani wa CHADEMA na viongozi wa juu wa CDM.
Serikali ya wanafunzi imeonelea swala hilo liende uso wa sheria za Chuo ili kulinda Image ya Chuo.
Mlaki amemtumia mbunge wa Iringa Mjini ili amsaidie kuongea na Mkuu wa Chuo juu ya jambo hilo.
Twasubiri hatua za Mbunge huyo katika jitihada za Kumnasua M/kiti huyo wa BAVICHA.
Hawa ndio viongozi wa kesho wa CHADEMA
Naomba kuwasilisha.