simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
- Thread starter
- #41
Powerrrrr. Safari hii upareni
paipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
paipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Wapendwa wana JF Habari za uhakika ni kwamba Kilio Cha Wananchi Wilaya ya Same kwa uongozi wa CHADEMA Taifa kimesikika na Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA Anatarajiwa kuanza Ziara yake ya Siku 4 Same. VUA Gamba Vaa Gwanda Kuanzia tar 10/05/2012. Mkutano wa ufunguzi wa Ziara hiyo utafunguliwa Standi kuu ya mabasi Same Alhamis tar 10 saa 7 mchana na Ratiba za ufunguz Rasmi wa ofisi za CHADEMA kata zote utaendelea kwa siku zote hizo. Karibuni wote Kadi na vifaa vingine vitakuwepo. Waandishi wahabari wote mnakaribishwa kurusha matukio ili Wa Tz waone jinsi wana nchi wa Same walivyo ichoka CCM na Wabunge wake. Mwisho Shukrani ziwafikie viongozi Wa CHADEMA TAIFA WOTE
Hongera james kwa juhudi zako pamoja na uongozi wa jimbo kufanikisha ziara hiyo .msisahau kata za mlimani.
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
Simon nimeupenda sana uzalendo wako kwa wilaya ya same.Mimi ni mdau mkubwa wa siasa za same na nafahamu vema kwamba maeneo mengi ya miliman ndiyo yaliyobaki ktk harakati za ukombozi.mpeleke bw Heche maeneo yote ya miliman mtapata ushindi mkubwa kamanda.
what is BAVICHA hujafafanua,kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu viwili tofauti!
Hodi! hodi! hodi! hodi! Anna Kilango !!!! kama hufungui tutavunja mlango au Kilango tuingie kwa nguvu Tafadhali surrender urudi kwa mumeo Dodoma
Mkuu Simon James,
Heshima kwako kamanda, kweli umepigania kuhakikisha vita ya ukombozi inafika Same, na juhudi zako tumeziona.
Hongera sana, endeleeni kuwahamasisha watu kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano.
Mungu Ibariki Same
Mungu Ibariki CHADEMA
Mungu Ibariki Tanzania