Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Habari kutoka ndani ya polisi mkoani hapa zinasema wanamtafuta Nanyaro ambaye pia ni diwani wa Levolosi,kuhusiana na mgomo unaoendelea wa vifodi,wana taarifa kuwa huyu Kamanda wa BAVICHA ndio yupo nyuma ya sakata hili,kutokana na ushawishi wake mkubwa kwa siasa za Arusha.
Pia wanachadema 25 kutoka kwenye eneo la December maarufu kama mtaa wa CHADEMA wanashikiliwa kituo kikuu cha polisi toka jana
Pia wanachadema 25 kutoka kwenye eneo la December maarufu kama mtaa wa CHADEMA wanashikiliwa kituo kikuu cha polisi toka jana