TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
- Thread starter
- #41
Sms ya hawa hii hapa akimtongoza ben tarehe 28/06/2012,saa 22:34:21
Nainukuu:
Kama una uhakika sawa.iwe siri yetu anyways.inaonekana sisi wakina hawa hatuwezi kupata na.sasa nimechoka tuonane kesho hb(handsome boy) wa chadema.
Hii hapa hawa akimjibu ben katika harakati zake zakumuwunda ambapo ben alimuuliza kama hawa ameshawahi kumuandika ben vibaya mtandaoni.
Hawa akajibu nanukuu:
Sijawahi ingawa kuna mda nililazimika na nitakueleza ben.roho iliniuma sana baada ya hapo kwakuwa hisia zangu hazikuruhusu niliyoyafanya na juu yako kuna jambo.usiku mwema hb.
My take:nafurahi umekuja mwenyewe na huu ni mwanzo tu ziko sms mbaya zaidi nadhani unajua maneno uliyokuwa ukimtongozea ben yalivyo ya aibu kwa mtu mzima kama wewe kuyaandika.
Kwa leo nimeyastahi,nimeyaacha kiporo.
Acha kupanic wewe jibu hoja zilizoko mezani.
Nafsi yako inakusuta kwa haya maana ni kweli tupu.
Poleeeeeeeeeeeeeeeeee!
This is just a tip of an iceberg.
Duuu! mbona mnaelekea nisiko maanisha naomba mrudi kwenye mada ya wizi wa mitihani.