TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
- Thread starter
- #21
Halafu si ndio huyu huyu mtu mzima aliemganda kamanda kijana mnyika kama luba?
Mnyika akamtosa akaanza kumsarandia ben saanane kwa sifa kedekede,nakumuahidi kumpa chochote atakacho?si ndio huyu?
Nasikia hivyo ila sina uhakika ila nachojua mimi kwa sana anaishi na mnywa viroba ally bananga.