USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Ndugu wa JF
Naomba mnisaidie kufikisha taarifa hizi kwa viongozi wa Taifa CDM (MBowe na Slaa) kuwa kuna Kaimu mwenyekiti wa wilaya Tarime anahujumu CDM kwa masilahi ya CCM kwa kuzuia mikutano ya kujenga CDM kufanyika .
Ilikuwa mwenyekiti wa BAVICHA HECHE afanye mikutano katika wilaya ya tarime akazuiliwa na POLICE kwa maelezo kwamba wamepewa barua na mwkt wa CDM kuwa mikutano ya Heche ina agenda binafsi au hajui Heche anataka kufanya mikutano kwa masilahi ya nani? (attached barua), kwa taarifa niliyoipata Heche alikuwa ameandaa mikutano iliyoombewa kibali na katibu wa CDM wilaya (attached) ,Heche alifanikiwa kufanya mkutano mmoja maeneo ya SIRARI Baada ya mabishano makali ya POLICE wilayani humo
Inasemekana mwenyekitu huwa anafanya kazi ya CCM ya kuua chama jimboni humo alioianza kabla ya uchaguzi mkuu 2010 na anaendelea na kwa kuhakikisha CDM hairejeshi halmashauri na jimbo.
Alivyohojiwa mwkt wa wiliya Tarime alisema kuwa HECHE amekuja tarime kwa mapumziko haruhusiwi kufanya mikutano (Je hili ni sahihi kumzuia Mheshimiwa kufanya kazi ya kujenga chama? alitaka Heche akacheze disco ndo arizike?)
Nimeambatanisha barua za kibali cha kufanya mikutano na barua ya mwkt wilaya cha kuzuia mikutano hiyo
Naomba mnisaidie kufikisha taarifa hizi kwa viongozi wa Taifa CDM (MBowe na Slaa) kuwa kuna Kaimu mwenyekiti wa wilaya Tarime anahujumu CDM kwa masilahi ya CCM kwa kuzuia mikutano ya kujenga CDM kufanyika .
Ilikuwa mwenyekiti wa BAVICHA HECHE afanye mikutano katika wilaya ya tarime akazuiliwa na POLICE kwa maelezo kwamba wamepewa barua na mwkt wa CDM kuwa mikutano ya Heche ina agenda binafsi au hajui Heche anataka kufanya mikutano kwa masilahi ya nani? (attached barua), kwa taarifa niliyoipata Heche alikuwa ameandaa mikutano iliyoombewa kibali na katibu wa CDM wilaya (attached) ,Heche alifanikiwa kufanya mkutano mmoja maeneo ya SIRARI Baada ya mabishano makali ya POLICE wilayani humo
Inasemekana mwenyekitu huwa anafanya kazi ya CCM ya kuua chama jimboni humo alioianza kabla ya uchaguzi mkuu 2010 na anaendelea na kwa kuhakikisha CDM hairejeshi halmashauri na jimbo.
Alivyohojiwa mwkt wa wiliya Tarime alisema kuwa HECHE amekuja tarime kwa mapumziko haruhusiwi kufanya mikutano (Je hili ni sahihi kumzuia Mheshimiwa kufanya kazi ya kujenga chama? alitaka Heche akacheze disco ndo arizike?)
Nimeambatanisha barua za kibali cha kufanya mikutano na barua ya mwkt wilaya cha kuzuia mikutano hiyo