Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
Wana jf naomba mnisaidie sababu kumi zinazompelekea mwanafunzi wa chuo kudisko!
1. kutosoma
2. kupenda starehe
3. kuto hudhuria vipindi
.......
zingine utajaza mwenyewe
Wana jf naomba mnisaidie sababu kumi zinazompelekea mwanafunzi wa chuo kudisko!
Majibu yako yanaonyesha kwamba haujafika chuo haaaaaaaaaaaaaa,hakuna watu wanaokula bata na kuskipu vipindi kama wanachuo na wanamaliza vizuri tu,wengi wanaodisco si kwa kutotimiza gpa ya 2.0 bali ni incomplete. Au ungese wa ma dr na ma pro mtimanyongo